Hivi aliikataa?? Sikuona hiyo aiseeeSwali: Kwanini alivyotoka Lacazette na kuingia Nketiah, Nketiah alipewa captain armband ili ampe xhaka, lakini xhaka aliikataa na badala akapewa TK?
This is the spirit.Emile Smith Rowe: "If Arsenal want me for the rest of my career, Then I am going to stay here Forever"😭😭❤
View attachment 2124228
Kwa hawa wote uliowataja nadhani Maximin tumfananishe na Saka tu, hao wengine wote ni inside forwards na wanacheza sana kwenye half spaces. Saka & Maximin profile zinafanana at least cuz wote wanacheza kwenye touchline, the difference btn them ni tactical knowledge kutokana na walimu walionao.Messi ana manjonjo na ni winger sawa sawa na Mane, Salah, Sterling na Mahrez.
Hao wote wanahold mipira lakini timu ikiwa kwenye move kutafuta goli hua hawaizuii timu kwenda mbele kwa kutaka kuonyesha manjonjo badala yake atatafuta pa kuupenyeza mpira. Ili move iendelee.
Mfano Maximin akiwa nje ya 18 angalia mwisho wa manjonjo yake ni nini? Kama siyo kupokonywa mpira basi ni kupiga back pass na potential threat inakua contained.
Lakini Foden, Saka, Salah, Mane, Messi wakiwa nje ya 18 wakifanya manjonjo unatarajia itoke assisst au ashuti. Akinyang'anywa unajua kabisa huyu hii siyo kawaida yake, tofauti na Maximin akipokonywa mpira unasema tu 'Ah ndiyo alivyo huyo' Hapo ndipo naona Maximin hapana, ana skills lakini hazitumii kuinufaisha timu.
Hivi aliikataa?? Sikuona hiyo aiseee
Rowe anaonesha ni namna gani mazao ya wenger yalivyo, kuna utofauti mkubwa sana na martinel, rowe akipokea mpira huwa hatulii nao, ni anatafuta half space ,anapenda kuwa third runner,Brentford are so good tactically, Thomas Frank mtu sana, leo nilijua hii draw lakini ukimuona Monster ESR unajua nani ataamua hii game.![]()
Game na wolves itakuwa tarehe ngapi kwenye fixture niliyonayo siioni hiyo gameArsenal’s next six fixtures:
Wolves H
Watford A
Leicester H
Liverpool H
Aston Villa A
Crystal Palace A
Tarehe 24 nadhaniGame na wolves itakuwa tarehe ngapi kwenye fixture niliyonayo siioni hiyo game
Ok ahsante mkuuTarehe 24 nadhani
24 February 2022Game na wolves itakuwa tarehe ngapi kwenye fixture niliyonayo siioni hiyo game
Kabisa yan sekunde moja kabla hajapokea mpira anajua wapi anaelekea hana muda wa kujishauri. RoweRowe anaonesha ni namna gani mazao ya wenger yalivyo, kuna utofauti mkubwa sana na martinel, rowe akipokea mpira huwa hatulii nao, ni anatafuta half space ,anapenda kuwa third runner,
angalia goli la leo, angepoteza muda kidogo tu wa kukaa na mpira ,basi angekosa space , lkn alipopokea pass, hapo hapo aka drive ndani na kufunga
Ahsante sana mkuu24 February 2022
Niko spurs Leo maana nataka title race iwe open.Hawa Man city wanashindwaje kumzuia spurz hawa daaah