Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Suala la kukaa na mpira nakubali. Ila kwa vile tuna Saka na Martinelli ambao ni ball keepers wazuri, mimi nlidhani tukipata goal getter itakuwa poa sana.

Namuona kama Ruud van nestelrooy kwa mbali

Yaani DCL ama tammy wawe katika njia ya ruud van nistelrooy, hapa ni mafuta na maji ukiwa ni striker ambae huna mambo mguuni basi unapaswa uwe muweka kamba mmoja mzuri sana kqa namna yoyote, unajua kujipostion vizuri saana, sasa hawa vijana bado kwa kweli, binafsi sitamani waje arsenal, au labda ni vile tu sipendi wachezaji wasiokuwa na mambo mguuni.
 
Mimi sikukurupuka nliposema above all ningemchagua DCL.

Unajua kigezo chengine kikubwa ambacho Wengi tutakiruka hapa ni proven performer kwenye EPL. Hichi si kitu kidogo.

Nina wasiwasi asije akaja Dusan pale akafeli. Nakumbuka ya CRESPO na KEZMAN. okey utasema Chelsea ni Chelsea na Arsenal ni Arsenal lakini kuna kina HULK na wengine wengi.

So kwangu kama tutampata DCL atatufaa sana in the next 4to 5 years.
Usajili huwa ni kamari tu, torres katoka liver wa moto, kaenda chelsea ni mashuzi tu.
 
Tulidokeza hawa jamaa wahuni. Leo wanaungama kuwa walikuwa na false postive. FA inatakiwa iwanyuke hawa wahuni.
Screenshot_2022-01-10-13-35-28-83_955f68c4df44ad6a86e46b05cf65099a.jpg
 
Carabao sijui FA wala hazipaswi kutuumiza kichwa

Inshu ipo kwenye ligi

Jpili tupo na spurs,
Xhaka ana covid
Nile yupo Roma
Partey na elneny wapo AFCON

Techinically safu ya kiungo itakua chini ya Sambi Lokonga
Tuseme AMEN
Eti una mchezaji anaitwa sambi lokonga halafu unategemea kupata ushindi😂😂😂😂😂
 
  • Thanks
Reactions: ARV
Carabao sijui FA wala hazipaswi kutuumiza kichwa

Inshu ipo kwenye ligi

Jpili tupo na spurs,
Xhaka ana covid
Nile yupo Roma
Partey na elneny wapo AFCON

Techinically safu ya kiungo itakua chini ya Sambi Lokonga
Tuseme AMEN
Eti una mchezaji anaitwa sambi lokonga halafu unategemea kupata ushindi😂😂😂😂

Bwana Sambi Lokonga Jana kapiga shot on tagert ngapi😂😂😂🤣

Pepe kaleee mumempeleka wapi yule pound million 80 zile mumemaliza kukupa? Au ndio amerudi Like sijui🤣🤣🤣
 
Hii arse8 yetu lazima ibebe ligi maana tumepigwa na NotadamForest kwa makusudi ili tumkimbize city maana sisi ni taito kontendaaaaa🤣🤣🤣
 
  • Thanks
Reactions: ARV
Hii arse8 yetu lazima ibebe ligi maana tumepigwa na NotadamForest kwa makusudi ili tumkimbize city maana sisi ni taito kontendaaaaa
Acha kujifariji basi.Chelsea awe title contender!!! 2021/2022!???


Kombe la Citizen.
 
Usajili huwa ni kamari tu, torres katoka liver wa moto, kaenda chelsea ni mashuzi tu.
Lukaku from everton to manure
Benteke from villa to liverpool
Andy Carrol from newcastle to liverpool
Sanchez from arsenal to manure
Fellaini from everton to manure
Maguire from leicester to manure
Willian fro chelsea to arsenal
Wan bissaka from palace to manure

USAJILI NI KUBET TU.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Moderator Maxence Melo

This is the second time tagging you here sorry for that, but it's either being active or restricting access to the thread for all those who are continuously using abusive, offensive and disrespectful acts.
Lugha inayoudhi ni sehemu ya majigambo katika ushabiki wa soka. Ni rahisi sana walioshindwa majigambo kutafsiri maneno ya majigambo kuwa matusi au abusive language. Kama wewe huwezi ushabiki kwa nini upo huku?
 
Lukaku from everton to manure
Benteke from villa to liverpool
Andy Carrol from newcastle to liverpool
Sanchez from arsenal to manure
Fellaini from everton to manure
Maguire from leicester to manure
Willian fro chelsea to arsenal
Wan bissaka from palace to manure

USAJILI NI KUBET TU.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Willian ondoa, hiyo haikuwa betting, Willian muda wake ulishaisha ninyi kwa ubishi wenu mkaingia kichwa kichwa tu hata baada ya kuwaonya kuwa ktk uzee wa Willian ukimpa mkataba wa muda mrefu ndio ataacha kucheza kabisa lakini hamkusikia
 
Back
Top Bottom