makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,930
- 104,253
Suala la kukaa na mpira nakubali. Ila kwa vile tuna Saka na Martinelli ambao ni ball keepers wazuri, mimi nlidhani tukipata goal getter itakuwa poa sana.
Namuona kama Ruud van nestelrooy kwa mbali
Yaani DCL ama tammy wawe katika njia ya ruud van nistelrooy, hapa ni mafuta na maji ukiwa ni striker ambae huna mambo mguuni basi unapaswa uwe muweka kamba mmoja mzuri sana kqa namna yoyote, unajua kujipostion vizuri saana, sasa hawa vijana bado kwa kweli, binafsi sitamani waje arsenal, au labda ni vile tu sipendi wachezaji wasiokuwa na mambo mguuni.



