Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Namba 3 looks like a mess today
@NAJYUZ I agree with you but kwa sasa hatuhitaji mbahatishaji kwenye position yoyote ile for example Tavares Lokonga Pepe Xhaka Cedric yaani a lot of players ambao Arsenal kawasajili wamekuwa useless nlifikiri Board members watabadilika pamoja na Edu mwenyewe kwenye kuselect good players but hata tetesi hizi za usajili zinazoendelea bado sijaona mchezaji anayefit kuchezea Arsenal hata attackers ambao tunahusishwa nao bado sijaona wa kuscore 20 goals per season kama Auba kwa misimu kama 10 sasa Arsenal haijawahi kucover areas zote kamwe I don't know tatizo sijui ni nini utakuta tuna attackers wakali but beki mbovu mara kipa mara kiungo@computerarsenal
Duniani hamna mchezaji mbaya.
Mchezaji anaonekana kua mbaya endapo akishindwa ku adapt mfumo wa kocha husika.
Mo salah,KDB na Guardado walionekana Chelsea ni wabovu na mwishowe wakaondoka ila leo ni story nyingine kabisa.
Coutinho pia ni same story ndio maana mpaka sasahivi anaonekana 'average player'.
Kuhusiana na DCL ni kweli mchezaji average lakini sio sahihi kama wewe unavyo mu underrate kua hawezi fanya chochote Arsenal.
Watu walibeza Sana usajili wa Andy Robertson kutoka Hull City iliyoshuka daraja,watu waliponda Leicester city kumsajili Harry Maguire Lakini wakamuuza Utd kwa hela ndefu kutokana na performance yake.
Binafsi nina imani dogo akija then aka cope with our style of playing atafanya vizuri sana.
Hii mechi vs Nottingham Arsenal akiendelea na style hii ya uchezaji wake tutajikuta out of competition
