Mo shyner
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 484
- 1,152
Ilitakiwa acheze mpira... Sio mtu!Xhaka angetakiwa afanyaje pale?
Ilitakiwa acheze mpira... Sio mtu!Xhaka angetakiwa afanyaje pale?
Mpira upo juu kwa player mwenye akili alitakiwa atulize akili Jota hakuwa na madhara kabisa angeconcentrate kwa kubana njia badala ya kudeal na mpira for example Jota angepata mpira kisha akampiga chenga na Xhaka kufanya tackle lawama zisingekuwa kubwa kama now onXhaka angetakiwa afanyaje pale?
Huyu nae ni wakutupisha tu... Maana kazidi kutuchoma, game ya man city katuchoma, leo tena carabao tutaponea wapi sasa!Nenda Twitter uone anavyotukanwa kiukweli anatuumiza saba fans wake lazima atoe penalty au red card tena kila mara vs big games this is not acceptable kama management inaona huyu ana umuhimu kwenye timu Arsenal itaendelea kuwa vibonde vs big games anapenda kumaliza mechi kabla haijaisha
Kama Xhaka angekua ana speed ilitakiwa aende kukaa mbele ya yule mchezaji na aanze kuzinga kwakua hana speed option ilikua ile aliyoifanya.
Option nyingine ilikua ni kufanya bahati nasibu na Jota akose au apate.
You know football 👌Kama Xhaka angekua ana speed ilitakiwa aende kukaa mbele ya yule mchezaji na aanze kuzinga kwakua hana speed option ilikua ile aliyoifanya.
Option nyingine ilikua ni kufanya bahati nasibu na Jota akose au apate.
FACTHuyu nae ni wakutupisha tu... Maana kazidi kutuchoma, game ya man city katuchoma, leo tena carabao tutaponea wapi sasa!
Haupo serious wewe kabisa dunia nzima imechafukwa then unakuja kutetea upuuzi bro huu sio muda wa joking kabisa akiona game ipo upande wetu vs big games basi atamaliza yeye game refer Mancity City game I am tired kumuona huyu jamaa kwenye squad yetu hapendi watu wafurahie positive results why him frequently?why?You know football
Watu wanamlaumu Xhaka bila kuweka facts! Wanalaumu lakini hawaulizi defenders walikuwa wapi hadi Xhaka atoke kati kukimbia kumfuata Jota.
Ili ambane inabidi awe naye sambamba lakini Jota alishatangulia ndiyo maana mpira akaupatia kifuani. Na Jota ana speed kuliko Xhaka so pale ilikua haiwezekani kumbana wala kumtokea Jota kwa mbele.Option ilikuwa kumbana. Jota na kumpeleka pembeni
Niliwahi kuandika humu 70% ya Arsenal fans and supporters they know nothing about football. Xhaka wasn't a defender, mabeki walikuwa wapi?Haupo serious wewe kabisa dunia nzima imechafukwa then unakuja kutetea upuuzi bro huu sio muda wa joking kabisa
Uende uko sawa kwa mtazamo wako...You know football 👌
Watu wanamlaumu Xhaka bila kuweka facts! Wanalaumu lakini hawaulizi defenders walikuwa wapi hadi Xhaka atoke kati kukimbia kumfuata Jota.
Niliwahi kuandika humu 70% ya Arsenal fans and supporters they know nothing about football. Xhaka wasn't a defender, mabeki walikuwa wapi?
Bro swali langu ni Moja why Xhaka ?why Xhaka?sawa mimi sijui football ila nakuuliza why xhaka?Arsenal ina lot of players but why Xhaka?ukinjibu hili ntakaa kimyaNiliwahi kuandika humu 70% ya Arsenal fans and supporters they know nothing about football. Xhaka wasn't a defender, mabeki walikuwa wapi?
Xhaka katika akili hakufikiri “Lazima nipate Red Card nitoke” fikra ilikuwa kuondoa mpira kabla ya Jota kuuchukua.Uende uko sawa kwa mtazamo wako... Lakini fikiria umuhimu wa game ya leo kwa upande wetu, mi naona bora angeacha jota afunge... Ili tujipange kusawazisha kuliko kcost team kwa red card, FA out... Carabao ndo ivyo tena, halafu top 4 kuna wapuuzi wak clear vizuri uenda wakatupumlia..!
Nimemuuliza one question Arsenal ina lot of players but why Xhaka ?everytime na sio wengine?akinijibu sahihi ntakaa kimyaThat is not an excuse, ubongo wake unge- improvise, ukaruhusu hata Jota akafunga goli than to commit an offense that will leave the team with 10 men
NIlitaka kumtetea lakini ninakuunga mkono.From now on Fan yeyote wa Arsenal atayekuja na story za kumtetea Xhaka ntalala nae mbele kwa mbele enough is enough this guy anafanya makusudi he is not matured enough why him in big games lazima atoe boko?why?kisha lije jitu linatoa shingo linamtetea stupid acha tukalale almost big games kama sio atatoa penalty basi Red card Fuc***