Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unatafuta kujua kama watu wana lugha chafu vidoleni mwao au umeteleza tu kuandika huu uzi umeubandika!?
Ukiondoa lugha za kuudhi na za majigambo kinachobaki sio ushabiki na mpira hautanoga tukiwa wote diplomats wa kuongea kama brother au sister. Ndio maana hata mtu anaacha TV yake ya HD ndani anaenda kwenye kibanda umiza ili tu akafuate ushabiki huo na majigambo yake. Mkomae basi kwenye ushabiki wa mpira
 
Lugha inayoudhi ni sehemu ya majigambo katika ushabiki wa soka. Ni rahisi sana walioshindwa majigambo kutafsiri maneno ya majigambo kuwa matusi au abusive language. Kama wewe huwezi ushabiki kwa nini upo huku?
Hii ndio shida ya kufutwa kwa jukwaa la dini, imesababisha maparoko kuhamia kwenye jukwaa la michezo.
 
Liverpool wakija tutawala shingo
Arsenal mkija tunajua pa kuwala
 
Tuombe Mungu kama atakubali kupokea maombi yetu, ingawaje Nina mashaka maombi yetu kupokelewa kwa sababu hatujatubu dhambi zetu za matusi jukwaani.
 
Kikosi sio kipana lakini it takes ages to fill the gaps, Edu had ample time to decide and negotiate the deals, unfortunately our deals are sealed on deadline day.
 
Liverpool leo anaweza akawekwa, lolote linaweza kutokea

Ila jpili ndio kazi rasmi, spurs inabidi apigwe at any cost


Aaron Arsenal
Welcome back brother
 
Arsenal XI: Ramsdale, Cedric, White, Gabriel, Tierney, Lokonga, Xhaka, Saka, Martinelli, Lacazette, Nketiah.

Subs: Leno, Holding, Mari, Chambers, Tavares, Patino, Salah-Eddine, Hutchinson, Biereth.
 
Kuna wadogo wana bango lao hapo la kuonyesha wametoroka shule kucheki Arsenal.

Imeniuma
 
Liverpool wana roho mbaya sana walivyoona wana squad ya players wachache wakasingizia COVID 19 and today wameweka full squad that's not fair
 
From now on Fan yeyote wa Arsenal atayekuja na story za kumtetea Xhaka ntalala nae mbele kwa mbele enough is enough this guy anafanya makusudi he is not matured enough why him in big games lazima atoe boko?why?kisha lije jitu linatoa shingo linamtetea stupid acha tukalale almost big games kama sio atatoa penalty basi Red card Fuc***
 
From now on Fan yeyote wa Arsenal atayekuja na story za kumtetea Xhaka ntalala nae mbele kwa mbele enough is enough this guy anafanya makusudi he is not matured enough why him in big games lazima atoe boko?why?kisha lije jitu linatoa shingo linamtetea stupid acha tukalale
Ila xhaka dah... Kanitoa kibanda umiza mapema kabisa, nmegundua akuna sabab ya kuchelewa kulala
 
Ila xhaka dah... Kanitoa kibanda umiza mapema kabisa, nmegundua akuna sabab ya kuchelewa kulala
Nenda Twitter uone anavyotukanwa kiukweli anatuumiza saba fans wake lazima atoe penalty au red card tena kila mara vs big games this is not acceptable kama management inaona huyu ana umuhimu kwenye timu Arsenal itaendelea kuwa vibonde vs big games anapenda kumaliza mechi kabla haijaisha
 
Back
Top Bottom