Umeandika kama vile tunasutana Mkuu which is wrong, nimesema chini hapo kuwa me nimetoa mawazo yangu ila naheshimu mawazo yako pia, Sijarudia andiko lako Mkuu, me nimejikita kwenye kuelezea mapungufu ambayo kwa upande wangu nayaona kwa Xhaka, na nikasema kwanini pamoja na hayo mapungufu bado yupo Arsenal hadi leo hii
we kusema kwamba eti Arsenal ni team kubwa kwahiyo haishindwi kureplace mchezaji endapo uwezo ni mdogo hapo unafeli mkuu labda kama huijui Arsenal vizuri na namna inavyoendeshwa na mabosi wake
Kama unashangaa kwa nini eti Xhaka hakuwa replaced kama hakuwa mchezaji mzuri, vipi umewahi kujiuliza ilikuaje pia kwa hawa wachezaji Gibbs, chambers, Walcott,iwobi,mertesacker,Carl Jenkinson, Hector,Nacho,Welbeck ilishindikana kuwa replaced kwa muda mrefu sana vipi nawao walikuwa wachezaji bora?
Xhaka hajawa replaced kutokana na demand ya Team haimfanyi Xhaka aonekane tatizo, Arsenal kwa miaka kibao imekuwa ikicheza kwa lengo la qualification ya UEFA champions league, kwa mahitaji hayo huwezi kuona tatizo la Xhaka mkuu, ila kama Team ina demand more kama kombe la ligi kuu haiwezi kuendelea kuwa na Xhaka kama Kiungo tegemezi
Na sababu ingine kubwa kwa nini Xhaka aliendelea kuwa sehemu ya team ni kwa sababu jamaa alinunuliwa kipindi ambacho mzee Wenger anajaribu kutengeneza team yenye ushindani kumzunguka Xhaka na ndomana Wenger alitumia pesa nyingi kumnunua hadi kuingia kwenye record ya most expensive signing kwa Arsenal
Me naweza kuwa niliandika andiko refu kama ulivosema ila lilikuwa na facts kuhusu uwezo wa Xhaka na sijaona sehemu ambayo we uliongea kuhusu ubora wa Xhaka ispokuwa ulijikita kwenye kumsifia Xhaka Kutokana na uwepo wake kwenye team chini ya makocha 6
Mind you brother, sibishani na mtu, nilitoa maoni kama shabiki wa Arsenal na mpenzi wa mpira kwahiyo siko hapa kumkosoa mtu, nafunga huu mjadala Mkuu