Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jamani tusisahau!

Granit Xhaka ni only player katika ukanda wa Milky Way Galaxy kucheza chini ya makocha 6 katika vilabu tofauti. Katika makocha sita amekuwa first team player in day out na amekuwa kapteini!

Kocha wa kwanza utasema hajui football, wa pili hana tactics na wa tatu hakuwa na option lakini wanne, watano hadi wa sita?! Xhaka mikataba yake imekuwa 5 years hadi Arsenal chini ya Unai Emery kutoa six years! Hata kama hatuelewi football sio kwa six coaches jamani.

Happy Holidays!
Welcome genius
 
Narudia wewe ni idiot haya niambie nimeadhirika nini sasa?kuwa Arsenal this season vs top big teams kashinda mechi 1?kafungwa na Chelsea Manchester City Manchester United Liverpool?au nimeadhirika nini kusema kuwa vs top 3 tumefungwa 11 goals na Arsenal hajascore ?wapi nimeadhirika bro?ok I know right now your answer will be I am using 2 different IDs
Umeulizwa endapo kafungwa na top six wote alafu akachukua ubingwa utasemaje?..

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Wajameni kiporo cha spurs kimechacha huko.

Vibonde Soton wakiwa na wachezaji kumi Spurs wamedondosha 2 points.
 
Hii unaikumbuka ?uliniambia may be nilikuwa nimelewa ?ukaniita nina kasumba ya ubishi na mgumu kuelewa so nachokwambia hata wewe unakasumba ya ubishi na kuelewa why usiwakubalie kuwa Xhaka ana strength kibao na weakness kidogo?why usikubaliane nao ili uachane na ubishi?
We jamaa bana una matatizo ya kusahau sana sio bure, hayo maneno ni wewe ambae uliwambia jamaa ambae alikwambia kuwa Man u mara ya mwisho kumfunga Arsenal ilikuwa ni 2018 hadi ilipoifunga Tena msimu huu we ukamwambia wakati Man u anaifunga Arsenal Dec 2 Old Trafford ulikuwa umelewa? Ulikuwa umelala?

Mei nilipokuja kukujibu ndio nikakurudishia hayo maneno uliyomwambia jamaa kwakuwa ulimzodoa mshkaji ilihali ye Yuko sahihi, maana ni kweli Arsenal ilikuwa haijafungwa na Man u since 2018 hadi ilipotokea msimu huu ila we ukaja kumbishia

Hadi hapa mkuu nachelea kusema ni kweli we jamaa ni mgumu sana kuelewa na una kasumba ya ubishi, Yani kama hadi hayo maneno yako mwenyewe unasahau kama ndie ulieyaleta na kuniuzia mie case, inashangaza aisee
 
Umeulizwa endapo kafungwa na top six wote alafu akachukua ubingwa utasemaje?..

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Kufungwa na Top 6 means umepoteza point 18 mkondo wa Kwanza na Zingine 18 mkondo wa pili.

Mazee point 36 ukizipoteza zote ubingwa jitoe tu. Labda itokee dhahama ambayo sio rahisi.

Ukipoteza 36 kwa uhakika hata hao wadogi wenzio huna uhakika wa kuwafunga wote so hapo tunaongea wastani wa point 55+ zimepitea.

Katika point kabla ligi kuanza 114 ukitoa 55 unabaki na 59 zinazotosha kukubakiza kwenye ligi na sio Top 4. Nanhapo hata nafasi ya europa umeikisa.

Mazee ili kuwa bingwa hesabu za point kutika Shit, Manyua, Cheksea, Fools, Spurs and Co lazima uzichukue ili kuwapunhuzia wao point na pia kujihakikishia nafasi ya kupapatuana nao pale juu.

Vinginevyo tuendelee na furaha ya kumfunga Norwich inatisha la ubingwa ni ndoto ya mbali sana hii. Tusahau kutokea
 
Gentleman opinion.

Sasa tubishane kwa hoja na sio mashambulio, sisi wote ni Arsenal hakuna sababu ya kushambukiana, ukiona jambo hulijui na kuna aibu namna ya kuuliza zama chimbo kasome kisha njoo jukwaani tuongee
Umeongea vizuri sana mkuu na hiyo ndio njia nzuri ya kufikia mwafaka na kujifunza pia, nikuombe tu upitie post zangu humu nilizochangia kwenye issue ya Xhaka na issue ya Arsenal kumfunga Man City naamini hakuna sehemu yoyote nilichokiongea sikijui au sina uhakika nacho maana mie kabla ya kuja kuandika au kubishana lazima niwe na uhakika wa Jambo husika

labda nikukaribishe wewe unipinge kwa hoja juu ya maoni niliyotoa, sikumbuki kama kuna sehemu mie na wewe tumeongelea swala la Xhaka ispokuwa ilikuwa ni mie na mshkaji hapo juu, kwahiyo ushauri wako wa kunambia nikiona Jambo silijui inabidi nikachimbe kwanza ndo nirudi kuandika nadhani ungemfaa sana mwenzetu ambae anabisha tu bila facts na sio mie maana me naandika kitu ambacho nina uhakika nacho na pia ni Facts
 
Umeongea vizuri sana mkuu na hiyo ndio njia nzuri ya kufikia mwafaka na kujifunza pia, nikuombe tu upitie post zangu humu nilizochangia kwenye issue ya Xhaka na issue ya Arsenal kumfunga Man City naamini hakuna sehemu yoyote nilichokiongea sikijui au sina uhakika nacho maana mie kabla ya kuja kuandika au kubishana lazima niwe na uhakika wa Jambo husika

labda nikukaribishe wewe unipinge kwa hoja juu ya maoni niliyotoa, sikumbuki kama kuna sehemu mie na wewe tumeongelea swala la Xhaka ispokuwa ilikuwa ni mie na mshkaji hapo juu, kwahiyo ushauri wako wa kunambia nikiona Jambo silijui inabidi nikachimbe kwanza ndo nirudi kuandika nadhani ungemfaa sana mwenzetu ambae anabisha tu bila facts na sio mie maana me naandika kitu ambacho nina uhakika nacho na pia ni Facts
Siku nikitulia nitakuja na andiko la Xhaka juu ya uzuri wake na Ubaya wake ukiwa umebebwa zaidj na Madness zake zinazoigharimu team kuliko kiwango chake, maana mengi anayoyafanya hayahusiani na uwezo wake ambao kila mtu hana shaka nao.


Andiko litakuna manta shaka.

Ila ushauri wa kusoma kabla ya kuandika haukukulenga moja kwa moja ingawa kwa kukoti andiko lako imrmaanisha umehusika moja kwa moja. But haikuwa hibyo bali ilikuwa kwa ajili hetu wote.

Tusipost mawazo yasiyo na facts maana ukikosa facts vhallange kidogo tu mtu huishia kupanic na kushambulia watu na IF zao.
 
Siku nikitulia nitakuja na andiko la Xhaka juu ya uzuri wake na Ubaya wake ukiwa umebebwa zaidj na Madness zake zinazoigharimu team kuliko kiwango chake, maana mengi anayoyafanya hayahusiani na uwezo wake ambao kila mtu hana shaka nao.


Andiko litakuna manta shaka.

Ila ushauri wa kusoma kabla ya kuandika haukukulenga moja kwa moja ingawa kwa kukoti andiko lako imrmaanisha umehusika moja kwa moja. But haikuwa hibyo bali ilikuwa kwa ajili hetu wote.

Tusipost mawazo yasiyo na facts maana ukikosa facts vhallange kidogo tu mtu huishia kupanic na kushambulia watu na IF zao.
Nimekupata Mkuu
 
Kwa kifupi Pepe na Maximin ni modern day Okocha timu ipo kwenye move ila mipira ilikua ikifika kwa okocha inapoa, move inakufa.

Ati Maximin aje Arsenal
Mbona alishakuwa kwenye list pamoja na Pepe, Zaha labda kama hufatilii, mwisho wa picha tukamsajili Pepe matokeo yake ndio hayo tunayaona leo
 
Hawa maboya nishaacha kujibizana nao.

Wayawazayo na kusema nayaangalia na kuwapuyza. Maana wakizidiwa hoja ya kimpira wanakimbilia shambulio la ID Mbili, why mtu uwe na ID mbili ili ufaidoke nini!?

Kuna pesa hapa wanagawa hadu mtu ujiandikishe na kumipersonate mtu ili muonekane wawili badala ya Mmoja!?

Uwazaji wa kijuha kabisa huu.
Kama mpira umewashinda kakaeeni kwenye siasa mlikozoea kutumia ID tofauti tofauti kujificha msitambulike
Dogo, acha kuita wenzio maboya,huna sababu ya kufanya hivyo......umeshindwa kujibu hoja kaa kimya nalo ni jibu zuri tu

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mbona alishakuwa kwenye list pamoja na Pepe, Zaha labda kama hufatilii, mwisho wa picha tukamsajili Pepe matokeo yake ndio hayo tunayaona leo
Kuna siku Arsenal iliomba bei ya Maximin au Zaha?
 
Kwa uwezo wa team yetu Xhaka ni mchezaji mzuri sana na of course anaisaidia sana team kulingana na uwezo wake, na kuhusu makocha wote kumpa nafasi ni kwa sababu hakuna mchezaji ambae yupo Arsenal au alinunuliwa kwa lengo la kuja kuchukua nafasi ya Xhaka ila kama ingekuwa hivo basi siku nyingi tu nafasi yake ingekuwa haipo Tena

Mtu mrefu hujijua pindi anapokaa na mtu Mfupi ndo kinachotokea kwa Xhaka, wachezaji wa position yake hakuna wa kumweka benchi ila hiyo haina maana kwamba jamaa ni mchezaji bora, sikufichi kwa Xhaka hakuna team yoyote top six anaweza kupata namba first eleven

Jamaa ana makosa ya kitoto sana ambayo huwa anayarudia mara kwa mara, maana unaweza kusema hakuna binadamu ambae hakosei ni kweli ila issue inakuja anakosea mara ngapi kosa aina Moja? Tatizo kubwa la Xhaka ni lack of Concentration wakati mechi inaendelea, waga kama kuna muda anasinzia hivi wakati anakuja kushtuka teyari watu washafanya yao

Tatizo kubwa la pili la Kiungo wetu ni anakosa kuwa Mobility, akifanyiwa pressing Xhaka waga anajikuta anakuwa off position mara nyingi sana na kujikuta anaachia njia kwa team pinzani kupita kirahisi sana na kupelekea kufungwa Kutokana na pass zake za kuchoma langoni mwake

Na tatizo la tatu ambalo me kwangu naona linamuondolea sifa za kuwa Kiungo bora ni uchezaji wake wa faulo ambazo mara nyingi waga hazina umuhimu, na hii waga inatokana na kuwa na uwezo mdogo wa kunusa hatari, hivo inampelekea anakuwa anafanya maamuzi ambayo alichelewa kuyafanya kabla

Lucas Torreira alikuwa bora sana kwenye nafasi ya Xhaka ila umbo lake llabda ilimuangusha na Unai ndio alifanya jamaa aondoke maana hakumkubali, ye akaopt kwenda na Xhaka ila to be honest Torreira was far Better than Xhaka

ila mwisho wa siku naheshimu mawazo yako juu ya Xhaka pamoja na wadau wengine Mkuu, haya ni mawazo yangu tu haimaanishi niko sahihi
Wewe mpira hujui kumbe, Xhaka ndio mchezaji aliye flexible in build up phases hapo Arsenal huwezi kumfananisha na yoyote, Partey anamuhitaji Xhaka kusupport first line when building play, uwezo wake wa kumove mipira haraka kwenye key areas ni ubora wake mkubwa, nenda angalia goli la Patino juzi ile pasi inapigwa kwa pepe kutoka kwake huo ndio ubora wa Xhaka, weakness yake amerely kwenye left foot zaidi

Xhaka huwezi mfananisha na LT, ni locatelli au Reuben Neves wakumreplace Xhaka sio hao wengine.

Kinachotokea sasa Arteta kamove na 433 so Xhaka plays as B2B, amekuwa anaoffer quality kwenye build up ishu he is limited offensive, kwa sasa anacheza kwenye left Half space kucover gap la KT, sasa kuexploit space in between the lines ndio imekuwa shida kwenye offensive duties. Yaani kiufupi kapewa role ambayo ilitakiwa ifanywe na fundi Houssem Aouar.
IMG_20211228_081726.jpg
 
Wewe mpira hujui kumbe, Xhaka ndio mchezaji aliye flexible in build up phases hapo Arsenal huwezi kumfananisha na yoyote, Partey anamuhitaji Xhaka kusupport first line when building play, uwezo wake wa kumove mipira haraka kwenye key areas ni ubora wake mkubwa, nenda angalia goli la Patino juzi ile pasi inapigwa kwa pepe kutoka kwake huo ndio ubora wa Xhaka, weakness yake amerely kwenye left foot zaidi

Xhaka huwezi mfananisha na LT, ni locatelli au Reuben Neves wakumreplace Xhaka sio hao wengine.

Kinachotokea sasa Arteta kamove na 433 so Xhaka plays as B2B, amekuwa anaoffer quality kwenye build up ishu he is limited offensive, kwa sasa anacheza kwenye left Half space kucover gap la KT, sasa kuexploit space in between the lines ndio imekuwa shida kwenye offensive duties. Yaani kiufupi kapewa role ambayo ilitakiwa ifanywe na fundi Houssem Aouar.View attachment 2061058
Pamoja Mkuu ni kweli me sijui Mpira
 
Duh hizi tunafanya small talk sasa
Sasa kama hawakuwahi hata kuomba bei hiyo big talk ya Arsenal kumtaka Maximin au Zaha wewe umeitoa wapi?

Rafiki wa karibu na Zaha alipost video akiwa yeye na Zaha akiwaambia Arsenal wamsajili. Ulisikia Arsenal hata ilijisogeza kwa Crystal?
 
Kuniita Boya hujui hata Umri wangu huo ni Uboya kama Maboya wengine.
Kwa uandishi wako tu unaonesha na unajipambanua wewe ni rika gani,hebu rudia kusoma ulichokiandika kwanza halafu ndio utaamini kuwa sijakosea kukuita dogo....hebu nioneshe wapi nimekuita boya....

Hizi shule za kata bora zifunguliwe,

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kwa nini usikubaliane na weakness za mwenzio ukaenda kujifunza?
For me Xhaka yupo 50% kwa 50% but kaangalie weakness zake then ndio uconclude sio lazima mawazo ya kwako na mwenzio yafanane inawezekana weakness zake za Xhaka ni 70 % na strength ni 30% hvyo usiconclude kwa kuona upo right wote humu tunajifunza na kutokukubaliana ni sehemu ya binadamu
Tatizo lako ni moja huwezi kusema kitu ambacho kinaeleweka ili mtu akajifunze kwa kufuatilia unachokisema. Pia hoja zako zote huwa hazina fact za kimpira ambazo mtua anaweza kukaa na kuanza kuzifuatilia ili kuona km ni kweli kinachosemwa ndicho kinachofanyika au la.

Hata hapa ulipo niquote nadhani pia hukuelewa. Hapa nilikuwa namwambia huyo ndg baada ya kusema kafunga mjadala na hataki kubishana kwahiyo mimi nikawa namweleza kwamba kupitia ubishi ndipo tunapojifunza maana mwenzako atasema hiki na wewe utasema kile hivyo utapata fursa/wasaa wa kufuatilia kilichokuwa kinasemwa na opponent wako ili uhakikishe kuwa alichokuwa anakitetea ndicho kinachotokea au anamis-interpret.
 
Kifupibwatu wanatakiwa kuelewa Xhaka pamoja na ubora wake anaouonesha kwa vipi fulani fulani, his madness zinaufunuka ubora huo na kumfanya awe liability kwa team. Kushindwa kumreplace ni tatizo za La Uongozi na namna wanavyolipa Support beanch la Ufundi, na kukosa upeo wa mpira kwa mmiliki kumeifanya team iwe na walimu wasiokidhi viwango ya kuifit team. Unai hakuwa profile ya Team, Arteta ni wa kuanzia Championship na sio EPL achilia mbali kiwa Arsenal.

Siku mmiliki akianza kuujua mpira au akiamua kuwauzia wanaoupenda mpira na kutaka team iwe shindani hapo ukomo wa wachezaji wa kkwango vha Xhaka utafikiwa na walimu Kama Arteta hawezi kuwa na kazi ya Kufanya Sana sana anaweza Kuwa Interim wakati aliyekuwepo amefukizwa tunasubiri mwenye profile yake apatikane.

Vinginevyo tuendelee kujipongeza kuifunga Norwich ambayo Viera hadi half time ameinyoosha 3

Arsenal4Life
Mkuu tatizo lenu ni kwamba hamleti facts badala yake mnaruka ruka tu ndio maana watu wanawaona miyeyusho. Km kweli wewe una facts za kimpira ebu tueleze ni weakness zipi za Xhaka ambazo ukienda kuangalia gem 3 mfululizo lzm uzione toka kwake
 
Back
Top Bottom