Tangu Arteta ameingia, amempeleka Bukayo kwenye level nyingine. Amemchezesha katika nafasi nyingi kabla ya kutambua kuwa RW ndio nafasi yake halisia, na sasa anazidi kuwa hatari kila siku ,na ana umri wa miaka 20 tu, .
wengi tuliamini labda abaki awe beki wa kushoto au LW, au Left Midfielder, au hata wing back, lakini kipaji cha Saka kilimuhitaji mtu wa kukitoa pale kilipo na kukipeleka level nyingine,
leo sitamuongelea Smith rowe tuliyeamini ni No.10 ,je watawezaje kucheza kwa pamoja na Odegard , Lakini ni Arteta aliyeamini kwa sifa za emily smith rowe anaweza kutokea pembeni, akaingia ndani kama N0.10 na kufanya DOUBLE No.10s yeye na Odegaard na wote wakashine kwa pamoja, kwa kocha mwingine ilikuwa lazima achague kuanza na no.10 mmoja, hivo angezorotesha kipaji cha mmoja.hii ilimtokea Ole gunna pale man u, alishindwa kuwatumia BRUNO NA POGBA kwa pamoja au bruno na Van de beek, KILA alipojaribu alipitia wakati mgumu, mwisho wa siku van de beek kipaji chake kikazorota.
Ukiona mtu haoni kazi ya arteta kwenye kuwa develop hawa vijana, basi hajui kuweka kumbukumbu sawa,wapi aliwakuta hawa vijana
[Arteta] on saka
"
To play in those positions for a big club like us, you need to be producing goals & assists every game. It’s what we demand from him & he has the capacity to do it & he’s doing it better & better."
View attachment 2060239