Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kila mtu na jicho lake ila nilikuwa namkubali saana LT(lucas torreira)
Kweli kila mtu na jicho lake, kwangu Arteta kumleta TP alifanya jambo la maana sana, Liverpool ana Fabinho 6ft, Man City ana Rodri / Fernandinho 6ft.
 
Kweli kila mtu na jicho lake, kwangu Arteta kumleta TP alifanya jambo la maana sana, Liverpool ana Fabinho 6ft, Man City ana Rodri / Fernandinho 6ft.
Partey namkubali mnoo, hapa tulikuwa tumeanzia kwa xhaka, akasema arsenal wanatafuta dm mwingine haswa ndio nikamkumbuka LT kama angekuwepo akacheza pembeni ya TP nadhani chama lingetulia mnoo hapo, xhaka ana mawenge saana.
 
Kweli kila mtu na jicho lake, kwangu Arteta kumleta TP alifanya jambo la maana sana, Liverpool ana Fabinho 6ft, Man City ana Rodri / Fernandinho 6ft.
6 ft utawin mipira ya juu sawa lakini unamuona Kante? Verrati? Sanches? Type of a mid anazunguka uwanja non stop akilinda, akipasi, akiscore, akitackle, akishambulia.

Nafikiri urefu siyo ishu tena haswa zama za mpira wa sasa, na hili tayari tumeliona limefutika kwa ma-full backs na wing backs. Wakina Lamptey, Hakimi, Aarons, Tierney n.k.
 
6 ft utawin mipira ya juu sawa lakini unamuona Kante? Verrati? Sanches? Type of a mid anazunguka uwanja non stop akilinda, akipasi, akiscore, akitackle, akishambulia.

Nafikiri urefu siyo ishu tena haswa zama za mpira wa sasa, na hili tayari tumeliona limefutika kwa ma-full backs na wing backs. Wakina Lamptey, Hakimi, Aarons, Tierney n.k.
Unatakiwa kuelewa umuhimu wa body profile/ orientation kwenye Positional play system then italeta urahisi wa kuelewa umuhimu wa kimo kwenye vital area kama anapocheza LT.
 
Unatakiwa kuelewa umuhimu wa body profile/ orientation kwenye Positional play system then italeta urahisi wa kuelewa umuhimu wa kimo kwenye vital area kama anapocheza LT.
Uwe na Body profile kama Ya Viera ambayo imebeba kila kitu inakuwa rahisi kujustify. Lkn unakuwa na body profile ya Kante na bado anafanya 60% ya majukumu aliyokuwa anafanya Viera au Makelele pamoja na kuwa na height karibu sawa na ya Kante bado alipiga kazi ya maana Drid. So unaweza kuwa na mwili jumba kama Xhaka na akili kisoda anakuwa mzigo kwa team, maana red huha wakati wowote madness zikimpanda
 
Unatakiwa kuelewa umuhimu wa body profile/ orientation kwenye Positional play system then italeta urahisi wa kuelewa umuhimu wa kimo kwenye vital area kama anapocheza LT.
Haya sawa. Nitarudi tena nikielewa.
 
Xhaka ana mapungufu mengi kuliko mazuri yake.

Mie nilijua ile deal ya kwenda roma arsenal wangeikubali na kuisaka middle nyingine ya nguvu ila mambo yakawa tofauti.
Xhaka ni mzuri sana anapokuwepo kwenye timu ila tatizo ni kwamba hizo kadi anazozipata ni kwasababu wachezaji wengi wa miguu ya kushoto huwa sio wazuri kwenye ukabaji wa kunyang'anya mipira hapo ndo utaona shida kubwa ya xhaka vinginevyo ni hali ya gem kuna siku inakubali kuna siku inagoma.

Xhaka ndiye anaemfanya partey afanye vzr kwa kuwa anampunguzia kazi hivyo kazi kubwa inabaki yeye kusambaza mipira kwa viungo wa mbele na washambuliaji. Kwa hilo ebu anza kufuatilia gem kubwa na ngumu ambazo xhaka anakuwa ndani na zile anazokuwa nje uone. Kwangu mimi Xhaka ana ubora mkubwa mno ila basi tu haijawaka kwenye kiwango cha kuwa na mwendelezo
 
Xhaka ni mzuri sana anapokuwepo kwenye timu ila tatizo ni kwamba hizo kadi anazozipata ni kwasababu wachezaji wengi wa miguu ya kushoto huwa sio wazuri kwenye ukabaji wa kunyang'anya mipira hapo ndo utaona shida kubwa ya xhaka vinginevyo ni hali ya gem kuna siku inakubali kuna siku inagoma.

Xhaka ndiye anaemfanya partey afanye vzr kwa kuwa anampunguzia kazi hivyo kazi kubwa inabaki yeye kusambaza mipira kwa viungo wa mbele na washambuliaji. Kwa hilo ebu anza kufuatilia gem kubwa na ngumu ambazo xhaka anakuwa ndani na zile anazokuwa nje uone. Kwangu mimi Xhaka ana ubora mkubwa mno ila basi tu haijawaka kwenye kiwango cha kuwa na mwendelezo
Tusubili ilo game na city tuone
 
Unajua kama timu yako PSG imepigwa na City? Na ina wachezaji zaidi ya 7 world class na GOAT mmoja.

United ina wachezaji wanne world class na GOAT mmoja na walibakwa.
We are talking about Arsenal football club bro mbona unaanza kujihami hata mechi haijachezwa?
 
Back
Top Bottom