Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo negative GD walikua nayo united na spurs pia mpaka ile game week 13.

Mimi naamini kama una uwezo wa kuzifunga mid table teams ni rahisi zaidi hata kuchukua ubingwa kwa sababu ligi yoyote kwa asilimia kubwa is made up na hawa mid table teams.

Failure yetu kusecure top six misimu miwili nyuma ilikuja kutokana na kushindwa kupata points mbele ya timu hizi hizi za mid table, wakina Wolves, Burnley, Leicester etc walikua wanachukua points.

Hata msimu huu, tulianza kupoteza kwa mpanda daraja Brentford, tumekua hatuna uhakika wa kuzifunga hizi mid table kupoteza kwa liva inaeleweka lakini kwa Everton?

Tena kuna mtu kascore magoli yamekataliwa na VAR yet akapata nafasi nyingine ya kuscore? What does that tell you?

And you expect this team outta nowhere ianze kuifunga city na liva? Na unailaumu isiposhinda?

Nikiwa realistic sioni tukisurvive sana kama January itapita kimya.
Well said. But for me, we only need a proven striker in January to make sure we finish in top four
 
We mzee wa kimasai, winga/striker wa nini tena?

Mnaona tunavyopumulia mashine kukosekana kwa Kante kikosini.

Tunahitaji DMF mwingine, Kante umri unasonga injuries kila siku hana muda mrefu mbeleni. Replacement inahitajika.

Huu ndio usajili wa haraka unahitajika the blues

Usajili wa mkopo wa Saul tumeingia choo cha kike.
Naona Lukaku naye hamna kitu plus mlisema mnahitaji winga kwakua ziyech ni kinabo
 
Hii inaonesha Arsenal have got confidence problem, performance inabadilika timu ikiwa Away from home
And going forward we will surely collect points from the so called top teams in the second round. I think we played away against all top teams hii round ya kwanza
 
A tricky game at home to West Ham, hawa jamaa wamekuwa mbogo kwa kila timu kubwa, tuone kama tutawafunga nyumbani?
 
Ila Aser8 mid table teams mnazibabua magoli ya kutosha.

Mnakusanya points muhimu zitawazaidia sana huko mbeleni.
Kwa Norwich tulishinda goli moja, kuna mid kama watatu tumewashinda goli moja moja tu. Na kwa msimu huu katika ligi aliyefungwa sana na Arsenal alifungwa 4 at the expense of ruhusu magoli mawili against a mid table.

Kikosi kinahitaji kujitoa sana kama tunataka consistency.
 
And going forward we will surely collect points from the so called top teams in the second round. I think we played away against all top teams hii round ya kwanza

Not the so called, they are really top teams. Evaluation of the quality of their squads and performance will definitely lead you to reviewing your statement. Let the truth be said.
 
Not the so called, they are really top teams. Evaluation of the quality of their squads and performance will definitely lead you to reviewing your statement. Let the truth be said.
Hahahahaahahah

Haya bhana! They are top teams
 
Arsenal have increased their offer for Dusan Vlahovic to €80m. They want to convince the striker to accept the Gunners' project as early as January.
 
And going forward we will surely collect points from the so called top teams in the second round. I think we played away against all top teams hii round ya kwanza
bro huwa unanifurahisha sana Liverpool Manchester City tutawafunga Emirates?kwa team ipi ya Arsenal labda?ambayo ina players wa aina gani?achaga masihara kwenye serious issues basi when the day itakapofika ni kusali tusipatwe na vipigo takatifu katika those two games at home otherwise jukwaa utalikimbia hili I know we love our Arsenal but the truth must be usemwe
 
Shoka lilikua janja.

Liliendelea kushinda kila uchaguzi ulioitishwa pale msituni.

Ila miti ikaendelea kupungua kwa kasi.

Shoka lilidai kwakua mpini wake ni wa mti basi na yeye ni mwenzao.
Dah, we mduanzi hapa umeniacha.
Kwakua napenda fasih, nitarudia mpaka nikuelewe.
 
Back
Top Bottom