Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya mmeshinda mko nafasi ya 7, mnasema Aseno ina vitoto viwapa presha mnaishia 3-2 mnasema mmeshinda au ngekewa hiyo hapoo semeni mmenusurika halafu mko kwenu hao walio waliowafunga hizo mbili ni wakubwa? Au ni wa bei kama hao wa kwenu? kwakuwa ushindi ni point 3 haya mmeshinda it is not over tunaendelea kupambana
 
Morning my fellow Gunners! Mmeamkaje?najua bado mna maumivu ya kufungwa na tena rival,sisi ambao tunaonekana ni haters kwa maumivu ya jana ni normal thing kwetu!the last time kuona Arsenal has no coach ni kwenye game dhidi ya Brighton and Crystal Palace nkaona hapa tuna players ambao wakiamka good Arsenal will win otherwise wale wachambuz uchwara wa kumtetea Arteta jana mmejionea wenyewe,timu kubwa kama Arsenal why wanapoteza Big games mfululizo dhidi ya Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea then unasema bado kuna kocha hapo?nawatakia siku njema my people
 
Unaweza kumlaumu kocha kumbe uwezo wa wachezaji ni mdogo.

Mbona hii timu inashinda against timu ndogo? Tena kwa magoli mengi + clean sheet.

Inawezekana wachezaji wenu wana uwezo mkubwa against wachezaji timu ndogo ila wana uwezo mdogo against wachezaji wa timu kubwa.
After kuscore moja jana tungeweza kuwin ile game 100%percent na tulianza very well problem ni Arteta baada ya kuscore tukabadili style ya uchezaji kwa kuwaruhusu Manchester United waje golini and After that kwa kila fan alijua maumivu yanakuja na yamekuja kweli pale tulipokuwa tukiplay attacking football Manchester United walikuwa wanapata tabu ila kitendo cha kuwaruhusu kuja golini kikatucost Arteta dhidi ya Big games kamwe hajiamini kabisa Shame Arsenal ina kivuli cha coach that's fuc** it
 
Morning my fellow Gunners! Mmeamkaje?najua bado mna maumivu ya kufungwa na tena rival,sisi ambao tunaonekana ni haters kwa maumivu ya jana ni normal thing kwetu!the last time kuona Arsenal has no coach ni kwenye game dhidi ya Brighton and Crystal Palace nkaona hapa tuna players ambao wakiamka good Arsenal will win otherwise wale wachambuz uchwara wa kumtetea Arteta jana mmejionea wenyewe,timu kubwa kama Arsenal why wanapoteza Big games mfululizo dhidi ya Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea then unasema bado kuna kocha hapo?nawatakia siku njema my people
Kijana naona una maumivu makali na Arsenal, kutwa ww ni kulaumu. Kwann uteseke?.

Kama unaona Arsenal haikupi furaha unayotaka, achana nayo ufanye au kufuatilia mambo mengine yatakayokupa furaha maishani.
 
After kuscore moja jana tungeweza kuwin ile game 100%percent na tulianza very well problem ni Arteta baada ya kuscore tukabadili style ya uchezaji kwa kuwaruhusu Manchester United waje golini and After that kwa kila fan alijua maumivu yanakuja na yamekuja kweli pale tulipokuwa tukiplay attacking football Manchester United walikuwa wanapata tabu ila kitendo cha kuwaruhusu kuja golini kikatucost Arteta dhidi ya Big games kamwe hajiamini kabisa Shame Arsenal ina kivuli cha coach that's fuc** it
Hakufanyi kitu mtu hapa wewe waambie ukweli hawa kima, nimekuwekea ulinzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal mnasajili vichezaji vya paundi 5 hafu mnataka mafanikio na mtasubiri sana mtaishia kumlaumu tu arteta wachezaji kama saka.level zao ni burnley huko.
 
Morning my fellow Gunners! Mmeamkaje?najua bado mna maumivu ya kufungwa na tena rival,sisi ambao tunaonekana ni haters kwa maumivu ya jana ni normal thing kwetu!the last time kuona Arsenal has no coach ni kwenye game dhidi ya Brighton and Crystal Palace nkaona hapa tuna players ambao wakiamka good Arsenal will win otherwise wale wachambuz uchwara wa kumtetea Arteta jana mmejionea wenyewe,timu kubwa kama Arsenal why wanapoteza Big games mfululizo dhidi ya Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea then unasema bado kuna kocha hapo?nawatakia siku njema my people
Ingawaje kuna sehemu ndogo natofautina na wewe, lakini kuna mahali nakubaliana na wewe. There are problems with our coach. Kipimo cha timu kufanya vizuri as you always say, is when you get results against teams above you. Bahati mbaya me included, we celebrate and see Arteta as a suitable coach when we win against teams in the relegation zone or mid table teams. See for example, Tavares was losing many balls, pasi azimfikii mlengwa, Why was he not substituted? TK was there. so is Partey, Lokonga was there. Sijawahi kusomea ukocha lakini if what I saw yesterday ndio aliyofundishwa Arteta then there is hole somewhere in his head. Unfortunately yesterday I slept early nilitamani nisikie Ian wright anavyoponda.
 
Mimi bado nalia na Mental issue ya vijana wetu specially kwenye decision making, it cost us points.

Japo kwa game ya jana binafsi nimeona matatizo ya kiufundi kama Central progression hapa Partey kwa kweli ameshindwa kustep up, hayupo secure hata kidogo
lakini hata mipira michache inayoprogress well still kwenye forward line kuna tatizo la ball retention ni lazima tupate ST wa kuwin possession kwenye final phase, atatuoffer retention, link up play, na atawin duels.

Ila kama mental issue itaimprove naamini tutakuwa nusu ya safari.
 
Shoka lilikua janja.

Liliendelea kushinda kila uchaguzi ulioitishwa pale msituni.

Ila miti ikaendelea kupungua kwa kasi.

Shoka lilidai kwakua mpini wake ni wa mti basi na yeye ni mwenzao.
 
Its a shame on VAR officials that can't check Maguire foul on Tomiyasu for penalty, but can check Odegaard on Fred.
 
Auba yeye yupo dunia yake
IMG_20211203_015742.jpg
 
We have sorted out our defence and GK, although i think we should still play Tierney ahead of Tavares. But it is the centre midfield and attack that needs to be sorted. Its time to drop Auba as his form is really poor, I rather play Martinelli. ESR and Saka has been our only bright sparks in attack. But i reckon Martinelli, ESR and Saka can make a good and dynamic front three. Centre midfield is still lacking a general that can control and dictate play. Partey is just average and Xhaka is not mobile enough. Still 2-3 players short before we can challenge the top 3
 
Back
Top Bottom