MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
Waweke 70 tunawaachia wasijaliCity inamtaka Tavares
Waweke 70 tunawaachia wasijaliCity inamtaka Tavares
Arteta apewe muda.Mkuu unanichekesha sana sasa squad hii inafuata nini humu![]()
Ni kweli spending kubwa ilifanywa last summer kuliko klabu zingine.Hizi ni assumptions tu na maneno yasiyo na ushahidi wowote.
Nadhani last summer Arsenal/ Stan ndio timu iliyotumia peas nyingi zaidi kuliko timu yoyote.
Huu ndio ushahidi tofauti na hapo ni assumptions tu.
Klopp alipoajiriwa na Liverpool alikaa muda sana kabla hajashinda taji lolote.
Sisi tumekaa kazi yetu kutukana wachezaji wetu tu. Waswahili tabu sana Sisi kudaadeki zetu.City inamtaka Tavares
Sawa!Ni kweli spending kubwa ilifanywa last summer kuliko klabu zingine.
Mtu A akijenga nyumba akafikia kwenye kuezeka akaacha kisha Mtu B akaamua na yeye aanze kujenga ila ndiyo anaanza mwanzo kabisa assuming aliyefikia kuezeka aliacha mwaka nyuma na sasa anaamua kuezeka mwaka huu ambao mtu B anaanza from scratch yakipigwa mahesabu ya matumizi ya huo mwaka Mtu A ataonekana alitumia kiasi kichache kujenga kuliko Mtu B.
Arsenal ni Mtu B
Ni bahili.Sawa!
Mtu B aliamua kuanzia mwaka huo baada ya kujifunza. Kama hivyo ndivyo tutasemaje mtu B ni bahili???
Unaweza kuniletea hiyo quote kaka???Ni bahili.
Kuna mengi yangeepukwa kama sera yake ya uwekezaji isingekua na kile walichokisema "Hatuwezi kuwekeza pesa nyingi kwakua nature ya mpira ni unstable"
Sisi tumekaa kazi yetu kutukana wachezaji wetu tu. Waswahili tabu sana Sisi kudaadeki zetu.
Game ya United nadhani ile alitoa boko ESR akasingiziwa Tavares. Humu humu kinduni tena nadhani ni mysterio huyo.
Yaani usajili uliofanywa last summer na Edu na Arteta ni bonge la Usajili
I agree with you. Just let's not overreact and remember these people are human beings and not robots.Tavares ana udhaifu wake, nadhani uliona against Liverpool na Everton. Bahati mbaya nimegundua kuna comment mtu anatoa lakini it is hard to be understood by many, I don’t care. Ninachokisema kwenye comments zangu nyingi, some players have problems/issues which could be brought under control by the coach. Tavares akipata coach mzuri tatizo lake linarekebishwa. Hili ni tatizo ambalo of late limekuwa common kwenye timu yetu, that is giving balls away.
I agree with you. Just let's not overreact and remember these people are human beings and not robots.
Ndio tunasuka timu bro.Lakini it is too much kwetu
Fact atakeyupinga atakuwa ni chizi na hii ndio Big problem ya coach wetu sababu ana uwezo mdogoTavares ana udhaifu wake, nadhani uliona against Liverpool na Everton. Bahati mbaya nimegundua kuna comment mtu anatoa lakini it is hard to be understood by many, I don’t care. Ninachokisema kwenye comments zangu nyingi, some players have problems/issues which could be brought under control by the coach. Tavares akipata coach mzuri tatizo lake linarekebishwa. Hili ni tatizo ambalo of late limekuwa common kwenye timu yetu, that is giving balls away.
For years wameiendesha Arsenal katika 'self sustaining model' Arsenal ilikua ikijilisha na kujihudumia katika kila kitu mpaka usajili.Unaweza kuniletea hiyo quote kaka???
Hapa bro hakuna aliposema tajiri kwamba kwa sasa nature ya mpìra ni unstable "
Unpredictable?Hapa bro hakuna aliposema tajiri kwamba kwa sasa nature ya mpìra ni unstable "
Tatizo la Tavares ni lipi? Pep Guardiolla angerekebisha vipi hilo tatizo ? ongea kiufundi tukuelewe.Tavares ana udhaifu wake, nadhani uliona against Liverpool na Everton. Bahati mbaya nimegundua kuna comment mtu anatoa lakini it is hard to be understood by many, I don’t care. Ninachokisema kwenye comments zangu nyingi, some players have problems/issues which could be brought under control by the coach. Tavares akipata coach mzuri tatizo lake linarekebishwa. Hili ni tatizo ambalo of late limekuwa common kwenye timu yetu, that is giving balls away.