Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Mzee baba uelewa wako wa mpira upo makini sana sio kwa kuwa unamtetea Arteta, ila huwa nashangazwa sana na mtu anachukua mambo ya kipindi cha AW anaunganisha lawama hadi kipindi cha Mikel Arteta. DNA ya Artetaball imepandikizwa hadi timu za vijana sio senior timu pekee ili kumaanisha tumeamua kuanza upya na long term project.Ndio tunasuka timu bro.
We decided to start afresh bro, remember???? Hii timu miaka ya mwishoni mwa Wenger ilikuwa hoi.
Nimesema mara kadhaa, 2023/2024 tunabeba EPL. I wonder when my fellow gooners panick
Tuliandika timu itamaliza top four tukaambiwa unaota wewe, ajabu leo unakuta mtu anatokwa povu eti timu inadrop points so inapoteza race ya Top four against united, Spurs & West ham, very ironically.