Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

A booking for Rice, will see him missing the next match. Mnanielewa ndugu zangu?
Pengine kafanya hivyo makusudi. Akitarget kurudi kwenye game yenye changamoto zaidi.

Apparently timu zishajua kwamba zikishambulia non stop Arsenal inashindwa kuhimili so hawatokua na Declan ila watahakikisha hawakauki golini
 
Pengine kafanya hivyo makusudi. Akitarget kurudi kwenye game yenye changamoto zaidi.

Apparently timu zishajua kwamba zikishambulia non stop Arsenal inashindwa kuhimili so hawatokua na Declan ila watahakikisha hawakauki golini
Arteta afukuzwe kazi Wednesday kama atashindwa kumfunga West Ham first of all tumepata chance ya kuwa above West ham if tutashinda na tukifungwa means Team 4 zote za juu zitakuwa zimetufunga means haitakuwa sawa kwa Arsenal kufungwa na team zote za juu hapo
 
Arteta afukuzwe kazi Wednesday kama atashindwa kumfunga West Ham first of all tumepata chance ya kuwa above West ham if tutashinda na tukifungwa means Team 4 zote za juu zitakuwa zimetufunga means haitakuwa sawa kwa Arsenal kufungwa na team zote za juu hapo
Westham, ukiweza kumdhibiti Rice imedhibiti timu nzima ya Westham. yeye ndie supplier wa mipira kwa akina Bowen, na Antonio. Ni nani anaweza kumkaba man2man huyo jamaa? Xhaka/Partey?
 
Arteta afukuzwe kazi Wednesday kama atashindwa kumfunga West Ham first of all tumepata chance ya kuwa above West ham if tutashinda na tukifungwa means Team 4 zote za juu zitakuwa zimetufunga means haitakuwa sawa kwa Arsenal kufungwa na team zote za juu hapo
Chance tulikua nazo mbili againsta united na everton.

Jana everton kafungwa tatu na crystal palace.

Hiki kikosi kina shida na shida siyo kocha kwa 100% na hata percent chache za makosa yake kwangu mimi siyo makosa tactical ila naona anashindwa kuwafanya wachezaji wacheze kwa kujituma na wawe na hamu ya kushinda hii ndiyo shida yake.
 
Westham, ukiweza kumdhibiti Rice imedhibiti timu nzima ya Westham. yeye ndie supplier wa mipira kwa akina Bowen, na Antonio. Ni nani anaweza kumkaba man2man huyo jamaa? Xhaka/Partey?
Kinabo tu huyo hata Maddison tuliaminishwa ni hatari hadi Arsenal tukawa interested baada ya dirisha la usajili kukata umemsikia wapi tena Maddison?

Nafikiri forward ya Westham imekua nzuri sana. Utawafunga na wao wanakufunga vile vile, hii forward inastahili sifa kuliko mtu mmoja.
 
Kinabo tu huyo hata Maddison tuliaminishwa ni hatari hadi Arsenal tukawa interested baada ya dirisha la usajili kukata umemsikia wapi tena Maddison?

Nafikiri forward ya Westham imekua nzuri sana. Utawafunga na wao wanakufunga vile vile, hii forward inastahili sifa kuliko mtu mmoja.
Kwa wapiga nyundo jiandae kusaga meno, kuna jamaa wanamuita Antonio, sio mtu mzuri yule jamaa, hachelewi kukugombanisha hata na mkeo, na kukufanya ulale mzungu wa nne mpaka asubuhi.
 
Kwa wapiga nyundo jiandae kusaga meno, kuna jamaa wanamuita Antonio, sio mtu mzuri yule jamaa, hachelewi kukugombanisha hata na mkeo, na kukufanya ulale mzungu wa nne mpaka asubuhi.
Kwa ulichofanyiwa na wagonga nyundo lazima uwakumbuke tu
 
Dah, we mduanzi hapa umeniacha.
Kwakua napenda fasih, nitarudia mpaka nikuelewe.
Ilikuwa hivi, mkata miti alienda msituni na kipande cha shoka kwa lengo la kukata miti, miti ilipomuona ikacheka sn kwamba hakuna uwezekano wowote wa kufa, mkata miti akarudi nyumbani na masononeko sana, siku nyingine akaenda tena lkn hali ikawa ile ile miti ilicheka sana.

Siku moja mkata miti akakutana na jamaa mmoja akamsimulia kisa chake kwamba mbona anashoka lkn hawezi kukata miti? Jamaa akamwambia hilo shoka haliwezi kukata miti pasipo kuweka mpini, jamaa akamwambia chukua mti mkubwa uuchonge alafu upachike kwenye shoka, huo ndiyo mpini na utaikata miti kadri uwezavyo, basi mkata miti akafanya hivyo.

Siku moja mkata miti akaenda tena msituni akiwa na shoka lake likiwa na mpini, alipofika msituni mti wa kwanza ulipomuona ukapiga kelele ukiwaambia wenzie, "jamanieee tumekwisha, shoka limeungana na mwenzetu" ikalia sana ile miti na hadithi ikawa imeishia hapo.

Funzo ni kwamba adui wa mtu hatoki mbali, na ukitaka kumuangamiza mtu tumia wanaomjua. Kwa kifupi tunasema Adui yako ni rafiki yako.
 
Arteta afukuzwe kazi Wednesday kama atashindwa kumfunga West Ham first of all tumepata chance ya kuwa above West ham if tutashinda na tukifungwa means Team 4 zote za juu zitakuwa zimetufunga means haitakuwa sawa kwa Arsenal kufungwa na team zote za juu hapo
Arteta apewe muda.
 
Chance tulikua nazo mbili againsta united na everton.

Jana everton kafungwa tatu na crystal palace.

Hiki kikosi kina shida na shida siyo kocha kwa 100% na hata percent chache za makosa yake kwangu mimi siyo makosa tactical ila naona anashindwa kuwafanya wachezaji wacheze kwa kujituma na wawe na hamu ya kushinda hii ndiyo shida yake.
Apewe muda ndiye atakayetuvusha.
 
16 bora UEFA inapangwa leo sijui Arsenal mtapangwa na timu gani ???
20211213_113045.jpg
 
Chance tulikua nazo mbili againsta united na everton.

Jana everton kafungwa tatu na crystal palace.

Hiki kikosi kina shida na shida siyo kocha kwa 100% na hata percent chache za makosa yake kwangu mimi siyo makosa tactical ila naona anashindwa kuwafanya wachezaji wacheze kwa kujituma na wawe na hamu ya kushinda hii ndiyo shida yake.
This is another golden chance tusipoitumia itakuwa ni Joke of the year 2021,three times tutakuwa tumepata chance kisha tumeshindwa na Arsenal ni big team inatakiwa ikae hapo juu ya West Ham licha nao kwa two seasons in a row wamekuwa wanapambana sana
 
This is another golden chance tusipoitumia itakuwa ni Joke of the year 2021,three times tutakuwa tumepata chance kisha tumeshindwa na Arsenal ni big team inatakiwa ikae hapo juu ya West Ham licha nao kwa two seasons in a row wamekuwa wanapambana sana
Heheheheeee Arsenal ni big team? Mkuu uko serious? Nitajie big team ambayo haina UEFA au japo Europa.
 
Back
Top Bottom