Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kusema kweli nilijua tutafungwa île game ya juzi ila sikutarajia kama tutapigwa nyingi vile .. Cha msingi tuzidi kupambana tuna timu nzuri tu japo mapungufu bado ni mengi..
 
Kusema kweli nilijua tutafungwa île game ya juzi ila sikutarajia kama tutapigwa nyingi vile .. Cha msingi tuzidi kupambana tuna timu nzuri tu japo mapungufu bado ni mengi..
United ambayo ina wachezaji wenye uzoefu kutuzidi amekula tano pale.
 
United ambayo ina wachezaji wenye uzoefu kutuzidi amekula tano pale.
Yaani wanasikitisha sana hawa man u.. Hivi kweli timu ina pogba, Bruno fernandes na Ronaldo juu halafu bado wananafungwa vile... Yule mmasai atawashusha daraja wallah !.. 0
 
Yaani wanasikitisha sana hawa man u.. Hivi kweli timu ina pogba, Bruno fernandes na Ronaldo juu halafu bado wananafungwa vile... Yule mmasai atawashusha daraja wallah !.. 0
Mmasai kafukuzwa. Sasa hivi ni unemployed.
 
Mambo ya positioning, pressing, aggressiveness etc.. ni wajibu wa kocha ku improve wachezaji. Otherwise kusingekuwa na haja ya training sessions . Kama ameshindwa ku manage ego za hao big players, that means he is not fit for the job
Yaan mkuu matatizo yote uliyoyataja ni kwa sababu ya kocha na wala siyo wachezaji.
Nimekutolea mfano wa Lampard, wachezaji kama Rudiger na Kante walionekana hamna kitu, but right now they are indispensable. Chelsea ya Lampard(2019/20) ili concede 50+ goals, look at them now.. they rarely concede.

Angalia Liverpool chini ya Klopp wanavo press. Je ni kwa sababu tu wachezaji wameamua ku press out of nowhere??? NO, It is down to the manager's philosophy. That means mtu asipoweza ku adapt anakuwa axed

Tukubaliane tu mkuu kwamba OGS and Arteta are no where near elite.
At some point huwa naona ata Arteta is far more better than our clueless clown
Yaaap
 
Hiyo nilikuwa sijajua !.. Kama kawaida yao man u hawajuagi kutafuta makocha wa maana.. Ngoja tuone kama watapatia safari hii
Even Arsenal wanatakiwa kufind new coach that's why timu ipo ipo tu wakikutana na big teams ,they conceded a lot of goals sababu ya mbinu za Arteta
 
Mchezaji anaitwa Baba hivi unajisikiaje kutamka hilo jina? Na msimu huu timu zote zimegoma kumchukua kwa mkopo
jipe moyo lokonga
IMG-20211124-WA0001.jpg


Sent using motorola 78
 
Mashabiki wa hii timu wana matatizo.

Kuna chansi kubwa timu yako kushika nafasi ya 13 baada ya game week 13 yet umekusanya nguvu za kuscreenshot huo msimamo na kuutuma hapa.

Katika saikolojia hua inakua kwamba mwanamke anayenyanyaswa hua ana moments zinazoitwa 'small victories' ambazo anazitreasure na kutamani zitokee mara nyingi.

Mfano akisikia mumewe mnyanyasaji amefumaniwa au simu ya mumewe imeingia chooni hua inampa ahueni kudhani kuna unseen entity inampambania pia.

Having said that mi naamini ARV ni mwanamke notice wenzake wanaona aibu wamejikausha isipokua yeye ameamua kukamata hii fursa ya 'small victories' pia sijamaanisha kama ni dhambi kua mwanamke. Enjoy sis.
 
Performance ya Chelsea tunayoiona ni fire fire and this came kwa sababu ya board iliyo serious na football Arsenal kuja kubeba EPL na Champions league hatutakuwa duniani tutakuwa tushakufa wote katika dunia hii you can't imagine Arsenal and Chelsea in December 2020,they were similar hakukuwa na utofauti mkubwa kati ya Lampard and Arteta but now on kuna tofauti kubwa ya Arteta na Tuchel kama Mbingu na Ardhi
 
Performance ya Chelsea tunayoiona ni fire fire and this came kwa sababu ya board iliyo serious na football Arsenal kuja kubeba EPL na Champions league hatutakuwa duniani tutakuwa tushakufa wote katika dunia hii you can't imagine Arsenal and Chelsea in December 2020,they were similar hakukuwa na utofauti mkubwa kati ya Lampard and Arteta but now on kuna tofauti kubwa ya Arteta na Tuchel kama Mbingu na Ardhi
 
Hahahaha wakati tunamfukuza Lampard mlitutukana, oooh Lampard angepewa muda ajenge timu.

The blues sio timu ya kusubiriwa ijengwe, ilishajengwa long time, now ni timu ya kubeba makombe.

Ndio maana kila kocha mzuri wa mbinu akitua the blues lazima abebe kombe.

Babu Sarii hakuwahi kubeba kombe lolote katika maisha yake ya ukocha, tumempa kombe la Europa.

Arteta kama anazo mbinu nzuri akija the blues tunampa kombe la UEFA, Yes why not?
FACT
 
Wazee, kama Mikel Arteta akizichanga karata vizuri kwenye game nne zijazo basi vita ya nafasi ya nne inabaki kati ya Arsenal na West ham. United wapo vibaya sana, ndani ya game mbili zijazo vs Chelsea & Arsenal watapoteza kabisa uelekeo wa Top four.
 
Back
Top Bottom