Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Jumatano nakugonga.Wanaenda kuchezea dudu leo.
Jumatano nakugonga.Wanaenda kuchezea dudu leo.
Ushindi lazima, united wamerudi kwenye Top 4 race.lazima tushinde kujiweka pazuriVijana wakapambame tupate ushindi Jioni ya leo
Tatizo lnakuja baada ya kupata majina hawa wachezaji watataka kuondoka project inaanza upya tena mzeeCoaches bora wengi huwa wanafanya gambling katika playing techniques, team formation and Playing pattern
Na hii ndio husababisha kocha fulani kushindwa kufanya vizuri katika Team A ila akafanya vizuri team B
Naelewa wanachokifanya Arsenal na Manchester United ktk kutafuta Coaches wa timu zao coz wana utaratibu wa kuwa na kocha mmoja ambae anahudumu kwa muda mrefu zaidi
Na ndio pale Arsenal yule Arteta hata upige kelele za namna gani ila ni vigumu kumfukuza haraka Coz wanaamini ktk kumpa kocha muda wa kutosha na vilevile kwa Man U walikuwa na target ya kuendelea kuwa Coach Ole kwa muda mrefu zaidi ila presha ikawa kubwa zaidi kwake na kwa board ya Manchester united
Na ninaelewa kwanini wametafuta Interim coach coz wanatafuta mtu sahihi ambaye ataendana na falsafa za timu yao na kuhudumu kwa muda mrefu zaidi kama tamaduni za timu yao zinavyojieleza
Ninaamini ktk mchakato wa Arteta kwenye kujenga timu ya vijana wadogo kwa manufaa ya Arsenal bora ya badae
Let's keep our own Talents
Bukayo Saka
ESR
Martinelli
Tavares
Ben White
Gabriel
Saliba
Sambi Lokonga
AM Niles
Nketiah
Balogun
Charlie Patino
Ramsdale
Wakipata majina kwa pamoja na kufanya vzr uwanjani, release clause ya hao wachezaji inakuwa kubwa na project ikiwa nzuri basi wachezaji watapenda kuwepo kwenye timu kwa mafanikio zaidiTatizo lnakuja baada ya kupata majina hawa wachezaji watataka kuondoka project inaanza upya tena mzee
Jiandae nakuja kukubaka baada ya vijana wa London (Chelsea) watakacho kukufanya keshoNewcastle United nikamatie chura hii.
tulikuwa na postve results under wenger + trophies bt wachzaji km nasri sagna clichy fabregas waliondokaWakipata majina kwa pamoja na kufanya vzr uwanjani, release clause ya hao wachezaji inakuwa kubwa na project ikiwa nzuri basi wachezaji watapenda kuwepo kwenye timu kwa mafanikio zaidi
Mchezaji anashawishika kuondoka kwenye timu ikiwa timu haifanyi vzr wala kupata positive results
hawez kutukamata uyoNewcastle United nikamatie chura hii.
Kwa wanavocheza kushinda ni majaliwaNimekubetia ww arsenal leta ujinga sasa huta tokea kamwe kwenye mikeka yangu .. forever
Maji utaita mma leo unaliwa kibgaScounting ya Arsenal ingekuwa safi, Maximin angekuwa Arsenal
auba nae ni goal gani lile la kukosa jman daaaaahCredits nilizompa Tavares nime withdraw