Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee, kama Mikel Arteta akizichanga karata vizuri kwenye game nne zijazo basi vita ya nafasi ya nne inabaki kati ya Arsenal na West ham. United wapo vibaya sana, ndani ya game mbili zijazo vs Chelsea & Arsenal watapoteza kabisa uelekeo wa Top four.
Spurs ukiangalia game vs Leeds wamestruggle cuz wanakosa watu muhimu kwenye build up phases, hata Burnley sidhani kama watawaacha salama.
 
Arteta outers wanakwambia "Mlete Allegri", angalia anavyostruggle na Juve, "Mlete Conte" mcheki anastrugle na Spurs, "Mlete Mourinho" yupo anaangaika na AS Roma.

Unda timu kabla hujamtukana Mikel Arteta.

Antonio Conte: “After three weeks I am starting to understand the situation. It is not simple. At this moment the level at Tottenham is not so high.” #THFC
 
Arsenal ya arteta ipo serious na inachokifanya
Kufungwa na big match coz tuna young players wengi ambao wengi wao ni unexperience

Ila hizi average team, Newcastle, man u, Everton nk watachezea mvua za kutosha tu
 
Ha haaaaaaaaaa tunaendelea na newcastle leo
Arsenal ya arteta ipo serious na inachokifanya
Kufungwa na big match coz tuna young players wengi ambao wengi wao ni unexperience

Ila hizi average team, Newcastle, man u, Everton nk watachezea mvua za kutosha t
 
Tangu nimeanza kuwa shabik wa soka nimejifunza jambo moja kubwa.
Kuwa na kocha mzuri(high profile) ni jambo moja,kununua wachezaji wazuri (class&form) ni jambo la pili na kutengeneza timu ni jambo la tatu lenye mahusiano makubwa na jambo la kwanza na la pili
 
Back
Top Bottom