Idea yako iko sahihi lakini sasa unahisi timu ambayo haipigi shot on target inakua ni sahihi?Mkuu kwenye Football nowadays you cant attack if you cant defend, Attack inatengenezwa kuanzia nyuma ndio maana shauku yangu kubwa ni Leno kuwa second choice. Arsenal yetu aerial duels hatuwezi kucheza halafu unakuta GK anaGo long anytime..
Mhh haitokuja kutokea, City hawafanyi trial and errors kama Arsenal.
City hawana time hiyo ya kucheza kamari kama Arsenal, angalia makocha waliokuja City tokea Mwarabu ainunue club.Kivipi mkuu, mbona Arteta ni mordern tactician mzuri tu the likes of Nagelsmann, source zinaonesha alikuwa anaandaliwa kumsucceed pep, Pep anasema Arteta is beyond a good
manager au ndio hyper negativity😁
Idea yako iko sahihi lakini sasa unahisi timu ambayo haipigi shot on target inakua ni sahihi?
Tulivyocheza na Brentford ilikuaje?Ngoja tuwe full mziki mkuu tuone kwenye game ya Norwich
Tulivyocheza na Brentford ilikuaje?
Yaani tukikutana na timu ina defense iliyokula kokoto basi ujue hatuchomoki. Kwa timu ndogo tutamiliki mpira ila hatutashinda kwa timu kubwa hatumiliki mpira na hatushindi.
Kwenye mid anahitajika awepo enforcer ambaye akikamata mpira mliobaki mtake msitake inabidi muende na move. Arsenal ina mid gani mwenye akili hiyo kuanzia waliopo uwanjani mpaka majeruhi?
Unahisi nakosea nikisema tunahitaji mtu kama Sanchez? Na ST kama Jovic anayeweza kukurupuana na mabeki?
Tulivyocheza na Brentford ilikuaje?
Yaani tukikutana na timu ina defense iliyokula kokoto basi ujue hatuchomoki. Kwa timu ndogo tutamiliki mpira ila hatutashinda kwa timu kubwa hatumiliki mpira na hatushindi.
Kwenye mid anahitajika awepo enforcer ambaye akikamata mpira mliobaki mtake msitake inabidi muende na move. Arsenal ina mid gani mwenye akili hiyo kuanzia waliopo uwanjani mpaka majeruhi?
Unahisi nakosea nikisema tunahitaji mtu kama Sanchez? Na ST kama Jovic anayeweza kukurupuana na mabeki?
City hawana time hiyo ya kucheza kamari kama Arsenal, angalia makocha waliokuja City tokea Mwarabu ainunue club.
Soares amefika pale day one anascore.Cedric hawezi ku-track back akipoteza mipira na hivyo kuwa uchochoro kwa timu pinzani.
Takwimu za mechi na Man City Soares alipoteza mipira mara 8, alitoa pasi 7 tu, hakuzuia mipira yoyote ile, wala kujaribu "tackles" na mipira ya juu alishindwa kuzuia mipira mitano.
Pasi zake hupotea na humlazimu kuanza kurudi nyuma alikokuacha hakuna cover.
Alipoingia Maitland Niles alifanya uzuri kwa kuzuia mipira mingi na kutoa pasi za uhakika ingawa ilikuwa too late.
Mechi na Chelsea ilikuwa ni hivyohivyo.
Hivyo nafasi ya beki wa kulia ni Takehiro na Maitland Niles ndo wawe first choice.
Bado wadogo na wepesi kukimbia kuliko Soares mwenye umri wa miaka 29 sasa.
Usijali akili yangu haipo sawa hata hivyo.Unazungumzia Assertiveness binafsi nadhani inahitaji Balance ya timu kwanza Watu warelax wacheze mpira, unamuona Bruno au Grealish wanafanya hivyo sababu timu imebalance hata huyu Tomiyasu kama ni RB basi ni usajili mzuri kuleta balance
Huwezi mfananisha Pellegrini na Arteta, Cv ya Pellegrini wakati anaichukua City huwezi fananisha na Arteta, kubali tu kocha huna.Ok niambie pellegrini alitoka timu gani kabla ya kuja City na alishinda taji gani alipokuwepo, Nature ya Mpira ni kamari, jifunze kwa Mou alivyofeli united na Spurs au Mou ni kocha mbovu..?
Usijali akili yangu haipo sawa hata hivyo.
Siku nyingine wazee
Huwezi mfananisha Pellegrini na Arteta, Cv ya Pellegrini wakati anaichukua City huwezi fananisha na Arteta, kubali tu kocha huna.
Mou alifeli ndio ila ali kabla ya hapo alizipa mafanikio club za Porto, Chelsea na Inter huyo unaye mtetea ame achieve kitu gani mpaka unataka kumlinganisha na Mou.
Kweli mpira kamari ila wenzetu probability yao ya kufanikiwa ni kubwa sana kutoka na aina ya wachezaji wao, makocha wanao watumia.
Ila Arsenal Kocha hawana, wachezaji hatuna wapo wapo wanategemea bahati.
Usajili wa Aour unaendeleaje Mzee?Ukiona hivyo ujue wenzio wanaona tofauti sio wewe mlalamikaji humu hata uwanjani huingii jezi hununui dah mwafrika anajikuta ana uchungu,![]()
?????Willian kaplay it fair, kuacha £20m inatosha kupewa heshima mambo hayakwenda sawa kwa upande wake
Nahisi leo tunaweza kumsajili aouar kutoka Lyon
Nalalamika au nakwambia ukweli Arsenal imebaki jina kuna watu wanapiga pesa balaa kama Edu na Arteta, season hii sijanunua jezi ya Arsenal ila nimenunua ya PSG,unaenda mechi ya 4 kwa kocha yule na wachezaji wale wale mamamamae utashangaa Norwich atakavyokushangaza next week, yeye na Arsenal wana point 0 na Norwich ataona anaweza pata results hapo Emirates atakaza hutaamini anyway endelea kufuatilia usajili hewa ,Chelsea wameshamchukua Saul ,Arsenal imewachukua Lokonga na MjapaniUkiona hivyo ujue wenzio wanaona tofauti sio wewe mlalamikaji humu hata uwanjani huingii jezi hununui dah mwafrika anajikuta ana uchungu,![]()



tumeanza league na 12 points on top 

Hii itakuwa panick buy sasaHiyo late drama itakua si mchezo.
RB, CM, Winger na ST