Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Kwa kocha Arteta na wachezaji wale wale wanaopigiwa kelele miaka nenda rudi hakutakuwa na jipya, na kama Brentford aliwatoa jasho Arsenal timu kama Everton Spurs Manchester United Liverpool itakuwaje?hakuna haja ya kujipa moyo sababu up to now ilitakiwa Official statement ya Arteta kufutwa kazi iwe tayari imetoka but wapo kimya it means management wanafurahia haya matokeo ya point 0 na goal scored 0 katika mechi 3
Ukiona hivyo ujue wenzio wanaona tofauti sio wewe mlalamikaji humu hata uwanjani huingii jezi hununui dah mwafrika anajikuta ana uchungu,🤣🤣