Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,383
Natamani mjifunze kitu kwa Monaco 2016-2019 chini ya leonardo jardim na Ajax kwa Eric ten hag 2017-2019......mjifunze walipataje ile cream bora ya wachezaji wao mfano Monaco Mbappe, mendy, bakayoko, fabinho, benardo silva, sidibe etc...
Ajax huko kukawa na cream bora ya ziyechi, Van de beek, de ligt, Neres, schone, Frank de jong. Onana.
Naamini mtajifunza kitu, arsenal bado ni brand kubwa sana, ikipata Youth system imara itafanya vizuri hapo kununua inakuwa wachezaji wawili watatu wazuri wakuboost team....
Kununua mastaa sio utamaduni wenu hamtauweza. Mnaweza jenga timu nzuri hizo paun mil 80 mkasajili mtu mmoja mwenye uzoefu akawapa ubingwa, kama lille walivyomsajili Burak Yilmaz aliejizeekea tayari ila mwenye uzoefu alioupata Galatasaray ya uturuki
Makinda wa academy wazuri kutoka Chelsea, Man u, man city, Juve, barca, madrid, liver, bayern, psg wakiahidiwa kucheza first team ndani ya miaka 2 hawawezi kataa wote mtapata academy nzuri hapo mjenge tu coaching team ya maana ya academy wawe tasked kuwajenga physically na mentally hao vijana kuingia firat team.....
Mbona mliweza kwa kina Nasri, Van persie, fabregas, wilshere na kina Ashley cole back then....
Mnaweza tumia pesa nyingi ila msipate cream bora....
Ajax huko kukawa na cream bora ya ziyechi, Van de beek, de ligt, Neres, schone, Frank de jong. Onana.
Naamini mtajifunza kitu, arsenal bado ni brand kubwa sana, ikipata Youth system imara itafanya vizuri hapo kununua inakuwa wachezaji wawili watatu wazuri wakuboost team....
Kununua mastaa sio utamaduni wenu hamtauweza. Mnaweza jenga timu nzuri hizo paun mil 80 mkasajili mtu mmoja mwenye uzoefu akawapa ubingwa, kama lille walivyomsajili Burak Yilmaz aliejizeekea tayari ila mwenye uzoefu alioupata Galatasaray ya uturuki
Makinda wa academy wazuri kutoka Chelsea, Man u, man city, Juve, barca, madrid, liver, bayern, psg wakiahidiwa kucheza first team ndani ya miaka 2 hawawezi kataa wote mtapata academy nzuri hapo mjenge tu coaching team ya maana ya academy wawe tasked kuwajenga physically na mentally hao vijana kuingia firat team.....
Mbona mliweza kwa kina Nasri, Van persie, fabregas, wilshere na kina Ashley cole back then....
Mnaweza tumia pesa nyingi ila msipate cream bora....

