Oya wanangu, kwaherini ngoja nikaandae kikosi kwa ajili ya kumla Liverpool
Toyota passo au Noah Voxy au mitsubishi pajero gdi.Hivi Arsenal ingekuwa gari kwa hali iliyokuwa nayo sasa, ingekuwa gari ipi? Na ingekuwa pikipikije?
Sio mbinu za ole sendeka Bali za Master Tactical TuchelHuyu kocha wenu inabidi amtafute Ole ampe mbinu za kukabiliana na Pep! Otherwise mtaendelea kuumia kila siku.
5 - 0.
Toyota passo au Noah Voxy au mitsubishi pajero gdi.
maamae yule jamaa. alikuwa akituma mapicha teleeeeeeee na kusema uongo balaaaa.Aaron alikuwa anatumaga picha za mkurugenzi Edu ameenda nyumbani kwa Arteta kisirisiri usiku, eti kumshawishi Arteta awe kocha Ase8.
hahahaha dah.This team doesn't need a new coach or owner. This team needs Allah wallahi
Na Wenga, mlimuonea sana yule mzee. hata tajiri asiposajili wachezaji wa maana kama akina Auba bado wenga aliweza kuwa im ara na kumal;iz atop 4 au 6. Mtafuteni Wengta mkamuombe msamaha na kumuomba arudi au mtaenda kuungana na Sunderland kwenye Ligue 2 kule mbaliBado mzimu wa Ozil unawasumbua
FekonNadhani Nissan Cube au Eicher, Kama Pikipiki, Yale matakataka ya China






Passo mbona linaafadhali labda suzuku swiftToyota passo au Noah Voxy au mitsubishi pajero gdi.
Kibao cha mbuziNadhani Nissan Cube au Eicher, Kama Pikipiki, Yale matakataka ya China


Furaha ya mpira hiyo, acha hasira shinda mechi zako uone kama atafanya hivi huyu MtuUnawezakuta huyu ana watoto wanamuita baba!!!