Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

dah!! wanaa Arsenal wenzangu..huu mwanzo wa Epl umekuwa mchungu mno kwetu😓😓hopefully baada ya international break timu nzima itakuwa imerejea wote wakiwa wazima..#yoyg.. dahh!!
What!?😳😳😳
 
Timu yenye historia kama arsenal ni aibu kuanza msimu kwa mtindo huu.

Apparently mpaka wachezaji wameonyesha kukerwa. Sasa nimeshangaa wanakerwaje wakati wao ndiyo wapo uwanjani?
Kuna muda nawaza labda mzee Wenger angerudishwa angalau kwa msimu mmoja tu ili timu irudi kwenye njia maana fedheha kubwa mno kuona timu km arsenal inavyohangaika uwanjani.
Kuna watu wanaona tatizo liko kwa wachezaji kwamba tuna wachezaji wa daraja la chini ambao hawana hadhi ya kuvaa jezi ya arsenal. Km hili ni kweli ebu tujiulize maswali mawili ya msingi kwamba "Brentford wana-quality players kuliko arsenal? Je Wenger aliwezaje kufanya vzr akiwa na striker tegemezi chamack?" Lkn leo tuna laccazet, Aubameyang, pepe, odegard na partey ila ndo timu iko hovyo kuliko vipindi vyote ambavyo tumekuwa tukiiona arsenal
 
Kuna muda nawaza labda mzee Wenger angerudishwa angalau kwa msimu mmoja tu ili timu irudi kwenye njia maana fedheha kubwa mno kuona timu km arsenal inavyohangaika uwanjani.
Kuna watu wanaona tatizo liko kwa wachezaji kwamba tuna wachezaji wa daraja la chini ambao hawana hadhi ya kuvaa jezi ya arsenal. Km hili ni kweli ebu tujiulize maswali mawili ya msingi kwamba "Brentford wana-quality players kuliko arsenal? Je Wenger aliwezaje kufanya vzr akiwa na striker tegemezi chamack?" Lkn leo tuna laccazet, Aubameyang, pepe, odegard na partey ila ndo timu iko hovyo kuliko vipindi vyote ambavyo tumekuwa tukiiona arsenal
Mtu kama Wenger inabidi awe pale kama DOF au CEO. Yule Vinai nafasi haimfai
 
Arsenal hua wanasema wenyewe wanakuza vipaji hawana shida sana na matokeo mazuri.
 
..wana familia tupungunze lawama.."COME ON YOU GUNNERS..ni suala la muda tu.
Katika maisha kuna wakati you have to completely go down and loose any spark of breath before you start afresh.I believe in arsenal and mostly it's building prospects.arsenal ya msimu huu huenda ikaja kuwa arsenal Bora kuliko arsenal yoyote iliyopita ndani ya miaka 10.ukiangalia ni kama kuna ghorofa linabomolewa ili lijengwe jipya.
 
Katika maisha kuna wakati you have to completely go down and loose any spark of breath before you start afresh.I believe in arsenal and mostly it's building prospects.arsenal ya msimu huu huenda ikaja kuwa arsenal Bora kuliko arsenal yoyote iliyopita ndani ya miaka 10.ukiangalia ni kama kuna ghorofa linabomolewa ili lijengwe jipya.
Mkuu utaishi miaka mingi sana wewe
 
Timu yenye historia kama arsenal ni aibu kuanza msimu kwa mtindo huu.

Apparently mpaka wachezaji wameonyesha kukerwa. Sasa nimeshangaa wanakerwaje wakati wao ndiyo wapo uwanjani?
Approach ya kocha inaweza kuwa kero kwa wachezaji hadi kukosa morali.

Inauma sana hata kuvaa uzi wa arsenal unajishauri siku hizi. Timu imekuwa hovyo kabisa, nadhani arteta aondolewe tu...
 
Mimi nawashangaa wanaotaka Arteta aondoke ,tupo wengi tuna amini katika uwezo wake haswa mashabiki wa chelsea ,huyu apewe muda kuna mambo mazuri yanakuja na Epl ni marathon na tupo mita 200 kati ya km 42 .Tupo nyuma ya Arteta
 
"Maisha bila unfki bhana daaah...

NUKUU:

Pep Gadiolar "Arteta knows himself that I really love him so much"

Yesterday results Man City VS Arsenal 5-0.
 
Back
Top Bottom