Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

HT. City 3-0 Gunners.
Arsenal inahitaji maombi. Kwa sasa hii timu ni ya kawaida mno.
Fanyeni maamuzi magumu. Mtimueni Arteta. Tafuteni coacher mwenye uzoefu. Wapo wengi tu. Conte, kwa mfano.

Msipokuwa makini, hali inaweza kuwa mbaya zaidi. Mnapoteza 3 game streight.
Leo kupigwa 6 ni kitu cha kawaida. Bado kina Mahrez hawajaingia hapo.
Conte ni mtu mwenye msimamo mkali lakini pia ni moja ya top quality coaches you find..

Shida ni kwamba ase8 wataweza masharti yake?
 
Screenshot_20210828-161438_FlashScore.jpg

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyu kocha wenu inabidi amtafute Ole ampe mbinu za kukabiliana na Pep! Otherwise mtaendelea kuumia kila siku.

5 - 0.
 
Kwa nini arsenal mnasajili mabeki warefu wakati gundogan anapiga kichwa katikati yao kwa urahisi hivi?
 
Back
Top Bottom