swahiba unarusha kokoto kwenye sega la nyuko
ohoooooooo
In red did you mean Wembley!?? they played at Wembley Mkuu!
Hiki ndo huku kwetu uswahilini tunaita KIMAVI.......Yaani sisi Arsenal na Makombe Imekua NDOTO....This was my only Hope....But hope Boyz will get back and keep Fighting......Inauma sana...Ila hakuna BanFa....Usiku mwema.....I need to sleep though am not sure if i can...............
Vipi mapigo ya moyo sasa hivi, kuna nafuu!!
Koscienly nimemsamehe kutokana na kujituma leo , ajifunze kutoka kwenye kosa lake lile goko nomaaa.
to be honest i was praying for brummies victory...sasa ngoja niende twitter nikamtafute jack wilshire na sczeny maana walimsema sana ashley cole...Pheeeeeeeewww!...
Pamoja we stand wakuu Arsene Wenger, BAK, Questt, et al...!
was fun dakika zote 88 tulipokuwa na matumaini ya ushindi...
We will be back...!
Belo, Peasant, Eqlypz, et al...
Your wish is granted. Uwanja ni wenu kupiga madongo sasa...
Oooh, BTW..."It was only a Mickey Mouse Cup",...ha ha!
Usiku mwema!
Aiseee......enjoy!
...Pheeeeeeeewww!...
Pamoja we stand wakuu Arsene Wenger, BAK, Questt, et al...!
was fun dakika zote 88 tulipokuwa na matumaini ya ushindi...
We will be back...!
Belo, Peasant, Eqlypz, et al...
Your wish is granted. Uwanja ni wenu kupiga madongo sasa...
Oooh, BTW..."It was only a Mickey Mouse Cup",...ha ha!
Usiku mwema!
Taratibu mkuu, don't be a bit racist. It's just a game!
Weye Mchokozi sana eeh!?
Ni kweli Emirates kuna kimavi, mbona mlipokuwa Highbury mambo yalikuwa pouuwaa?!!
Leo SABABU ninayo, NIA ninayo na SHAUKU ninayo sanaaaaaa ya kuona Arsenal wanatakata pale Wembley....Lakiniiiii......!................(naomba nije kumalizia kitendawili hiki badae).
Wasalaam watani....!