Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
 
The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
Amen na iwe hivyo, apigwe zote tuanze league upya.
 
The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
Jumapili hatuchezi na Chelsea
 
Hivi kesho Arsenal si inacheza?

Mfano ikapata goli kesho hilo goli halitakua la mwezi?

Hii story ya City inakujaje?

Mbona kuna watu wengi sana hawana taarifa sahihi halafu ndiyo wanapenda kuandika?
 
The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
Sisi kama mashabiki wa Arse88 bado tuna imani na Lord Arteta.

#Arteta mitano tena.
 
Sisi kama mashabiki wa Arse88 bado tuna imani na Lord Arteta.

#Arteta mitano tena.
Tumuunge mkono bwana Arteta ..sisi arse8 bado tuna muhitaji sana huyu ndo kocha atayetutoa Hapa tulipo.
InArtetaWeTrust..
 
Reporter 🗣️ We heard You Want To Join Arsenal This Season or Next,how True?
Halaand 🗣️ Arsenal? Yes,that's true,We All Players and the fans really supposed to join Arsenal In PRAYERS 🙏 this season and next season
Reporter 🗣️ No,I mean play for them
Halaand 🗣️ I'm Not Too Young To Retire, Retirement Will Be The Best Option 🥺🥴🥴
😂
 
Reporter 🗣️ We heard You Want To Join Arsenal This Season or Next,how True?
Halaand 🗣️ Arsenal? Yes,that's true,We All Players and the fans really supposed to join Arsenal In PRAYERS 🙏 this season and next season
Reporter 🗣️ No,I mean play for them
Halaand 🗣️ I'm Not Too Young To Retire, Retirement Will Be The Best Option 🥺🥴🥴
😂
Ukilogwa na sisi mashabiki wa Arsenal tutakuwa tumekuonea.?
 
The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
Labda Conte wa mbagala. Yaani Conte aje arsenal kuharibu CV yake?

Kwanza dirisha litakuwa limefungwa. Hawezi kubali kuja halafu asisajili mtu yoyote. Kumpata Conte sahauni.
 
Labda Conte wa mbagala. Yaani Conte aje arsenal kuharibu CV yake?

Kwanza dirisha litakuwa limefungwa. Kumpata Conte sahauni.
Duuuuuh!!!!!!!Hawa jamaa waloanza kushabikia mpira kutokana na BETTING bhana!!!!

Eti dirisha litakuwa limefungwa
 
Maombi muhimu
FB_IMG_16297068069534982.jpg
FB_IMG_16297061302392964.jpg
FB_IMG_16297068122544399.jpg
JamiiForums-139033256.jpg
 
Back
Top Bottom