The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
