Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Waliosema magoli yatachaguliwa ya training hawakujua kama leo kuna mechi
Duuh kwan hii ni epl.? Mbona arsenal mnapenda kujifariji kwenye upuuzi yani mnacheza ligi ya kichovu halafu mnajisifia.
Hv mmesahau kuna kipindi Chelsea alicheza na timu flani hv ya kichovu halafu Kai Havertz akafunga hat-trick watu mkatushambulia sana ety amefunga kwenye team ndogo.? Acheni kujifariji kwenye ligi mlenda msubirini man cty awakamue.
London is blue 💙🔵💙
 
Duuh kwan hii ni epl.? Mbona arsenal mnapenda kujifariji kwenye upuuzi yani mnacheza ligi ya kichovu halafu mnajisifia.
Hv mmesahau kuna kipindi Chelsea alicheza na timu flani hv ya kichovu halafu Kai Havertz akafunga hat-trick watu mkatushambulia sana ety amefunga kwenye team ndogo.? Acheni kujifariji kwenye ligi mlenda msubirini man cty awakamue.
London is blue 💙🔵💙
Hakuna sehemu nimejisifia.

Kuifunga Westbromwich ni sawa na kuifunga Chelsea. Siwezi kujisifia.

Mabeki walikua hovyo, mpinzani angekua clinical angeweza kupata magoli mawili mpaka matatu.
 
Mi naona game ilikua ya hovyo imeonyesha beki bado siyo nzuri na forwards siyo clinical vya kutosha
Yote 9 binafsi spirit ya wachezaji na ushindi ule umenifurahisha na naamini utawapa confidence ya kupata matokeo huko Epl

Ila bado tuna shida ktk utengenezaji wa magoli yaan tunafunga kibahati tukikutana na timu makini kazi tunayo
 
Mi naona game ilikua ya hovyo imeonyesha beki bado siyo nzuri na forwards siyo clinical vya kutosha
Beki iliyoicheza jana yote ni reserve. Tavares anaonyesha matumaini, ana makosa madogo sana lakini akipewa musa he is good. Chambers bado so is Kolasinac
 
Beki iliyoicheza jana yote ni reserve. Tavares anaonyesha matumaini, ana makosa madogo sana lakini akipewa musa he is good. Chambers bado so is Kolasinac
Beki reserve ni reflection ya starting 11. Tavares, Chambers na Kolasinac hawakua vizuri. Kwa kifupi ni kwamba ukiangalia mabeki na mawinga wetu kitakwimu wanaonyesha wana poor physical conditioning inayowafanya washindwe kukaa na mpira kwa muda mrefu.
 
Yote 9 binafsi spirit ya wachezaji na ushindi ule umenifurahisha na naamini utawapa confidence ya kupata matokeo huko Epl

Ila bado tuna shida ktk utengenezaji wa magoli yaan tunafunga kibahati tukikutana na timu makini kazi tunayo
Tumeshinda magoli sita. Ila mangapi yana assisst? Zimetengenezwa nafasi za wazi nane ila zimekoswa 4 nafikiri forwards wetu bado na ndiyo maana tukicheza na timu yenye beki nzuri inakua ngumu kutoboa.
 
Hongereni kwa ushindi mnono nyie matakataka.
Jumamosi fanyeni kweli tuinyanyue London..
Huku tukimla livakuku basi na ninyi kazeni kalio mfanye kweli man Shityee nani bwana...Mimi naamani Arteta akijiamini basi anashinda vizuri tu yani..
Arse8 hili chama kubwa sana wazee tushinde ile game ili London ing'ae ..mbona spurs kampiga huyo Shityee.. Na ninyi jumamosi fanyeni kweli wanang arse8 tushinde au tuwaazime lukaku??

CFC.
 
Hongereni kwa ushindi mnono nyie matakataka.
Jumamosi fanyeni kweli tuinyanyue London..
Huku tukimla livakuku basi na ninyi kazeni kalio mfanye kweli man Shityee nani bwana...Mimi naamani Arteta akijiamini basi anashinda vizuri tu yani..
Arse8 hili chama kubwa sana wazee tushinde ile game ili London ing'ae ..mbona spurs kampiga huyo Shityee.. Na ninyi jumamosi fanyeni kweli wanang arse8 tushinde au tuwaazime lukaku??

CFC.
Arsenal hana ugoko wa kuizuia Man city, wajitahidi kupunguza idadi ya magoli watakayo fungwa.
 
Sidhani kama Arsenal imewahi kucheza na timu inaitwa chelsea. Ligi ina timu 24 na miaka yote sijawahi ona timu inaitwa chelsea
Afadhali ww mwenyewe umesema ligi ina timu 24, bila shaka ushajua n ligi gani hy na Chelsea yupo ligi yenye teams 20
 
Hivi kesho Arsenal si inacheza?

Mfano ikapata goli kesho hilo goli halitakua la mwezi?

Hii story ya City inakujaje?

Mbona kuna watu wengi sana hawana taarifa sahihi halafu ndiyo wanapenda kuandika?

Arsenal kumbe mmeshinda jana lakini hamsemi?

Mmeanza Ligi kwa kishindo goli tano zote si mchezo
 
1629986815084.png
 
Back
Top Bottom