Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duuuuuh!!!!!!!Hawa jamaa waloanza kushabikia mpira kutokana na BETTING bhana!!!!

Eti dirisha litakuwa limefungwa
Natambua kwamba Kocha mnasajili muda wowote. Ila.mnadhani Conte atakuja wakati anajua fika dirisha limefungwa na Arsenal hii ni mbovu?

Endeleeni kuota mkija kuamka mtajua hamjui.
 
Jamaa anafikiri makocha nao wana dirisha la usajiri!..
Conte hatokuja wakati dirisha limefungwa. Yaani arsenal hii mbovu ije imshushie CV? Hatokuja sababu anajua hawezi kusajili muda utakuwa umepita.
 
Chelsea bado tunafanya usajili wa mashabiki wapya, tunawakaribisha sana.
 
Lucas Torreira ameuzwa Fiorentina kwa 15M.

Mwanzoni ilitarajiwa ataondoka kwa mkopo ila mazungumzo yamefikiwa na Torreira kaenda zake Italy.
 
Ndivyo unavyojidanganya?... Subiri ujionee mambo yatakavyokuwa
Nyie ndio mnajidanganya. Conte yupo tayari akae nyumbani kuliko kwenda sehemu ambayo ambayo anajua fika haina mipango ya timu kusonga mbele.

Kwani Kama asingekuwa mtu.wa hivyo angeshasajiliwa Totte siku nyingi.
 
Lucas Torreira ameuzwa Fiorentina kwa 15M.

Mwanzoni ilitarajiwa ataondoka kwa mkopo ila mazungumzo yamefikiwa na Torreira kaenda zake Italy.

Tumeuza, who are incomings? Lakini ninachosikia, he has been loaned with option to buy at the end of the loan term
 
Waliosema magoli yatachaguliwa ya training hawakujua kama leo kuna mechi
 
Back
Top Bottom