Ezekiel Arsenal haijashiriki mashindano ya Ulaya msimu huu tu tangu 1900 huko.Vp kuhusu timu kubwa ambayo hata haishiriki hiyo conference?
Tuachane na mambo ya miaka hiyo Nyerere bado rais, vp ww ambaye hushiriki ligi yoyote ya nje tofauti na hii uliyoliwa wiki iliyopita.?Ezekiel Arsenal haijashiriki mashindano ya Ulaya msimu huu tu tangu 1900 huko.
Liva haijashiriki michuano ya ulaya almost mara 6.
Chelsea mwaka juzi tu hapo ilishika nafasi ya 8.
Hizi glitches hua zinatokea. Naelewa kwamba wewe kwa level yako hayo niliyoandika huwezi kuyajua.
Tuachane na mambo ya miaka hiyo Nyerere bado rais, vp ww ambaye hushiriki ligi yoyote ya nje tofauti na hii uliyoliwa wiki iliyopita.?
Breaking news ni kwamba TT hatokuwepo uwanjani mana kuwa sehemu moja na dogo arteta n kumuaibisha TTLet s meet tomorrow and see who is baba lao
Sijakuelewa na ninahofia kukujibu huku sijakuelewaTuachane na mambo ya miaka hiyo Nyerere bado rais, vp ww ambaye hushiriki ligi yoyote ya nje tofauti na hii uliyoliwa wiki iliyopita.?
Unajifurahisha tu hapa.Breaking news ni kwamba TT hatokuwepo uwanjani mana kuwa sehemu moja na dogo arteta n kumuaibisha TT
ee kilema nivushe daraja" alisikia giant mmoja hvWashika manati leo nimewabetia, chonde musichane mkeka.
Nasafilia miujiza yenu, leo ushindi kama kawaida.
Washika manati leo nimewabetia, chonde musichane mkeka.
Nasafilia miujiza yenu, leo ushindi kama kawaida.
Mbona sikumbuki hili???Ndiyo maana watu walivyokazana kusema Emery aondoke nikawa naona apewe muda.
Tuwe na subra nduguUkiona kitu ukikifikiria kichwani kinamake sense basi jua Arsenal hawatokifanya.
Una shida na kipa.
Unajiandaa kutumia 30M kumnunua Ramsdale.
Wakati kuna Mat Ryan na Onana unaweza kuwanunua wote kwa 7M. Ryan ameshatudakia msimu uliopita na ni kipa mzuri kusema kweli.
Lakini vinabo wanataka kutumia 30M kisa ati 'home grown'.
Unataka kumnunua Maddison kwa 65M.
Lakini Aouar ana asking price ya 25M na Odegaard ana asking price ya 35M na hapo odegaard unaweza kumnasa kwa mkopo. Kuna Renato ana asking price ya 23M.
Yaani kwa chini ya 70M unaweza kumpata Aouar, Renato na Odegaard.
Ukabakiwa na pesa ya kutafuta RB au kusubiri kiangazi na kipindi hichi kumpa namba Cedric na Bellerin.
Lakini Edu na genge lake hawafikirii hivi. Chochote ambacho wewe unaona mbona hii option inaokoa pesa na unapata ziada wao hiyo option ndiyo hata hawaiwazi.
Badala yake wako bize kuficha udhaifu wa uongozi wao kwa kutweet 'Trust the process' na kujisnap IG usiku wa manane wakidai wako bize na usajili.
Sijui kwamba ni hakuna pesa na hapa inapigwa kanyamazongo au vipi lakini kuna shida kubwa sana kuanzia kwa mmiliki mpaka yule bwana anayependa kumpa namba Chambers
Cheki humu. Kipindi hicho Aaron Arsenal ndiye nilikua nabishana naye kuhusu hiliMbona sikumbuki hili???
Naiyonea huruma hela yakoWashika manati leo nimewabetia, chonde musichane mkeka.
Nasafilia miujiza yenu, leo ushindi kama kawaida.
Kitoabu Arsenal ina majeruhi wengi na wagonjwa wa corona.Washika manati leo nimewabetia, chonde musichane mkeka.
Nasafilia miujiza yenu, leo ushindi kama kawaida.
Kwamba hua tunawafunga kwakua tumewaloga?Kesho mkitoa hata droo, ninyi rasmi ni wanga
Huo ujasiri wakucheki game kesho utautoa wapi? nipo hapa na baadhi ya Arsenal fans wamesusa kuicheki game ya keshoKwamba hua tunawafunga kwakua tumewaloga?
Nipo mkoa ambao mimi siyo mwenyeji na bando limepanda bei ila hiyo mechi ningeiangalia kiroho safi.Huo ujasiri wakucheki game kesho utautoa wapi? nipo hapa na baadhi ya Arsenal fans wamesusa kuicheki game ya kesho