Yale ni masihara. Najua hamaanishiMaisha ni kuchagua
Yale ni masihara. Najua hamaanishiMaisha ni kuchagua
Mwamba amekazana kweli sasa anadhani akitukana ndiyo kilichopo kitabadilikaHuyo mtoto mshamba sana
Ok kama ukubwa wa hivyo yea ni timu kubwandiyo top 6 yupo kwa mda mrefu sans
ndiyo nilimaanisha hivyo mzeeOk kama ukubwa wa hivyo yea ni timu kubwa
Ripota wa Arsenal tangu aseme Arsenal imepeleka ofa kwaajili ya Maddison hajasema kama kuna mtu mpya kafuatwa. Na hata hivyo dili la Maddison sidhani kama litakamilika, kwa timu yenye shida na mchezaji tungejua wapi tulipo.ndiyo nilimaanisha hivyo mzee
kwa unavyoona sahivi Arsenal inaelekea kumsajili nani?
ila matatizo yetu ni makubwa sana Odegard tuu haitoshi labda aje yeye tupate na kocha mpya huyu Arteta anatuzingua tuuRipota wa Arsenal tangu aseme Arsenal imepeleka ofa kwaajili ya Maddison hajasema kama kuna mtu mpya kafuatwa. Na hata hivyo dili la Maddison sidhani kama litakamilika, kwa timu yenye shida na mchezaji tungejua wapi tulipo.
Mmiliki katapeli alivyosema anaahidi makubwa dirisha la usajili. Edu naye anazidi kusema mashabiki wamhukumu dirisha likifungwa sasa hivi tuvumiliane.
Kwa kuangalia yanayoendelea naona Odegaard ana chansi kubwa ya kuja kuliko Maddison
kuna sehemu nimeona Arteta kapanga kwenda na 4-3-3 ila sasa Xhaka doesnt fit into that, unasemaje kuhusu hilo au ndio tutamzomea tena rafiki yako?Granit Xhaka MiTena
Odegaard ni loan with an obligation to buy, means Arsenal wataspend somewhere else.Ripota wa Arsenal tangu aseme Arsenal imepeleka ofa kwaajili ya Maddison hajasema kama kuna mtu mpya kafuatwa. Na hata hivyo dili la Maddison sidhani kama litakamilika, kwa timu yenye shida na mchezaji tungejua wapi tulipo.
Mmiliki katapeli alivyosema anaahidi makubwa dirisha la usajili. Edu naye anazidi kusema mashabiki wamhukumu dirisha likifungwa sasa hivi tuvumiliane.
Kwa kuangalia yanayoendelea naona Odegaard ana chansi kubwa ya kuja kuliko Maddison
Haya mambo yanachanganya mzee.ila matatizo yetu ni makubwa sana Odegard tuu haitoshi labda aje yeye tupate na kocha mpya huyu Arteta anatuzingua tuu
Hiyo formation inataka mawinga wenye speed na skills za kuwachomoka full backs.kuna sehemu nimeona Arteta kapanga kwenda na 4-3-3 ila sasa Xhaka doesnt fit into that, unasemaje kuhusu hilo au ndio tutamzomea tena rafiki yako?
Renato Sanches, Odegaard, Lokonga na Emile wakicheza kwa pamoja timu itakua inatembea sana na mpira kwenda mbele.Odegaard ni loan with an obligation to buy, means Arsenal wataspend somewhere else.
Tumefelishwa na kutokupata option A anazopendekeza kocha kama Locatelli, huyu mtu ameniuma sio siri, ngoja tuone kwa wengine.Renato Sanches, Odegaard, Lokonga na Emile wakicheza kwa pamoja timu itakua inatembea sana na mpira kwenda mbele.
Mi kinachonichekesha ni tulipoambiwa hili dirisha la usajili kuna moto utawaka halafu wakikumbushwa wanasema tusubiri dirisha lifungwe ndiyo tuwajudge
Ila mi naona Locatelli hana ukali wa kusema ukimkosa roho ikuume. Kama kweli shida ni nafasi waliopo wagawe kwa mkopo hiyo ndiyo option inayokua imebaki.Tumefelishwa na kutokupata option A anazopendekeza kocha kama Locatelli, huyu mtu ameniuma sio siri, ngoja tuone kwa wengine.
Current squad doesnt fit his system, labda afanye kufix kama kipindi cha Cup alienda na 3 4 3 mpira ulikuwa mkubwa sana,
Market haiwataki wachezaji wetu, unaingizaje wapya kama waliopo hawauziki? Xhaka Roma wamegoma kutoa £20m, je vipi kuhusu hawa kina Niles, Bellerin, soares?
Mkuu, lakini wewe siulitangaza kuhama hii timu?Milango 3 ndio nani?huoni kama dunia nzima inailaumu Arsenal mpaka Rais wa Rwanda?ina maana mtu akitoa maoni ni against Arsenal hata kama ni Arsenal?
Mkuu, huyo jamaa yenu kesha pagawa, nibora umpotezee tu.Naona umekomaa kuniita mjinga tangu juzi unahisi upo sahihi au siyo?
tumemvumilia vya kutosha mzee hatuoni hata dalili za kifanikiwaHaya mambo yanachanganya mzee.
Wazia hapa;
Jirani spurs alimchukua Mourinho (kocha mzoefu makombe na ameongoza timu nyingi) kipigo kilichotembea wakampiga chini. Wameongozwa na msaidizi mpaka Nuno alipokuja.
RB Leipzig wametamba wakiwa na Nagelsmann huku Nagelsmann akiwa hana uzoefu wa kutisha zaidi ya kua kocha msaidizi wa Tuchel.
Zidane kaipokea Madrid akiwa katoka timu ya watoto na akafanya vyema mno.
Shida ya Arteta hajafanikiwa kuwafanya wachezaji wafie uwanjani kwaajili yake. Wachezaji wachache ni world class ila kwa walew waliopo siyo kuona sahihi ukifungwa na Brentford.
Umeongea pointwadau cha msingi mwelezaji wetu bwana kroenke aondoke tu ndo shida zitaisha
Kinachosababisha mimi nione siyo sawa kumfukuza kocha nafikiri ni kwavile ni shabiki ambaye nimemuona kocha mmoja kwa muda mrefu.tumemvumilia vya kutosha mzee hatuoni hata dalili za kifanikiwa