OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Dully Jr timu yake mbovu adi anabadili IDNjoo na ID yako ya Jully jr, ili tuelewane vizuri, kobe we!
Dully Jr timu yake mbovu adi anabadili IDNjoo na ID yako ya Jully jr, ili tuelewane vizuri, kobe we!
Mmeshika nafasi ya pili kwa kufungwa magoli machache, 36. Arsenal imeshika nafasi ya tatu, magoli 39.Kuna discussion ya SkySports youtube kuhusu combined 11 ya Chelsea na Arsenal. Poor Arsenal hakuna hata mchezaji mmoja anayeingia kwenye hiyo combined labda kwa kupendelea ni Bukayo Saka na Tierney tu
Mfano mjadala ulijikita kwenye kati ya Silva na Ben White nanai aingie nafasi ya CB
Sasa Arsenal waweke ushabiki pembeni waseme ni nani anaweza kuingia kwenye combined 11 ya kesho
Strong line up yetu hii hapa
Werner ------------- Lukaku ---------------------- Mount
Chillwell -------- Jorginho ----- Kante -------- James
Rudiger ----------------Silva -------------------Azpilicueta
Mendy
Tuanze na Mendy nani kati ya makipa wenu wa kumuweka benchi Mendy?
Rudiger je
Silva je
Azpilicueta je
Kante je
Jorginho je
Chilwell je\James je
Lukaku je
Werner je
Mount je
Hata tukiweka team B bado wachezaji wengi wa Arsenal watakosa namba
In such a case then huu ni muda wenu wa kulipa kisasi kwa vipigo mlivyopokea au unaonaje?Aaron Ramsdale kashashusha timu mbili daraja
Alianza na AFC Bonamouth (2019/20) then Shefield United (2020/21) na sasa Arsenali (2021/22)
Hizi habari za kujipa matumaini hiziMmeshika nafasi ya pili kwa kufungwa magoli machache, 36. Arsenal imeshika nafasi ya tatu, magoli 39.
Keep in mind chelsea ilikua inabadili makipa.
Arsenal ST, Auba/ Laca wana magoli mengi kuliko Werner, Tammy & Giroud (Sold) na werner amecheza mechi zote tangu amefika. Unlike Auba na Laca. Werner is useless kiasi kwamba Kai ndiye ST siku hizi na mashabiki mnasema Werner ni mkali kwakua anatoa assissts.
Katika mid yenu ni nani ameingia kikosi cha msimu? Sisi xhaka kaingia.
Tumewafunga chelsea wakiwa na kikosi hichi hichi mara mbili chini ya makocha wawili tofauti. Aliyeongezeka ni Lukaku sina uhakika kama Pullisic na Lukaku watacheza leo. Even if they will kwangu pullisic ni hatari kuliko lukaku as lukaku ana power finnishing ila poor control unlike pullisic ambaye ni skilled na control kubwa.
So bring it on. Hizi mambo za wamesema combined nini haifanyi nini is utter bullshit, chelsea iko kwenye morali na hiki ndicho cha msingi kwenye timu. Morali na kucheza as a unit so technical wise chelsea anatakiwa kushinda but so were previous meetings.


Leo Lukaku anaanza na anachangia ushindi ktk magoli mawili...hizo zote ulizosema kuhusu Lukaku sio kweli huyo unayemdiscribe n WA unyumbuni Mzee sahv kaimproveNilichoandika sijakitoa kichwani na sifanyi mipasho hapaHizi habari za kujipa matumaini hiziLeo Lukaku anaanza na anachangia ushindi ktk magoli mawili...hizo zote ulizosema kuhusu Lukaku sio kweli huyo unayemdiscribe n WA unyumbuni Mzee sahv kaimprove
Hata ukitoe unapopajua utajua mwenyeweNilichoandika sijakitoa kichwani na sifanyi mipasho hapa
Nyie matakataka bado mumelala?? Muna raha gani wakati Leo mnapokea kipigo kingine tena?
Kuweni serious amkeni muanze kuomboleza nyie matakataka..
Hahahaha dah kweli aise maan hawashindwi kufanya hivi hawa nyumbu.Mzee wa kuwakera, angalia watakuchongea kwa mods upigwe Ban la maisha.
Chief hv na we hawa raia si walisababisha ukala ban ?Mzee wa kuwakera, angalia watakuchongea kwa mods upigwe Ban la maisha.

Chief hv na we hawa raia si walisababisha ukala ban ?![]()
Kwahiyo unasemaje?Hata ukitoe unapopajua utajua mwenyewe
Where is Aubangi?Mmeshika nafasi ya pili kwa kufungwa magoli machache, 36. Arsenal imeshika nafasi ya tatu, magoli 39.
Keep in mind chelsea ilikua inabadili makipa.
Arsenal ST, Auba/ Laca wana magoli mengi kuliko Werner, Tammy & Giroud (Sold) na werner amecheza mechi zote tangu amefika. Unlike Auba na Laca. Werner is useless kiasi kwamba Kai ndiye ST siku hizi na mashabiki mnasema Werner ni mkali kwakua anatoa assissts.
Katika mid yenu ni nani ameingia kikosi cha msimu? Sisi xhaka kaingia.
Tumewafunga chelsea wakiwa na kikosi hichi hichi mara mbili chini ya makocha wawili tofauti. Aliyeongezeka ni Lukaku sina uhakika kama Pullisic na Lukaku watacheza leo. Even if they will kwangu pullisic ni hatari kuliko lukaku as lukaku ana power finnishing ila poor control unlike pullisic ambaye ni skilled na control kubwa.
So bring it on. Hizi mambo za wamesema combined nini haifanyi nini is utter bullshit, chelsea iko kwenye morali na hiki ndicho cha msingi kwenye timu. Morali na kucheza as a unit so technical wise chelsea anatakiwa kushinda but so were previous meetings.
Arsenal tunawapakua leoKwahiyo unasemaje?
Sasa kwa namna uliyoanza kuandika inakua ngumu kidogo mimi na wewe kukaa meza moja.Where is Aubangi?
Where is Lagazeti?
Arse8 pale hamna timu pamoaj na kutumia mil 120+ kuwanunua akina white, Sambi Lukonga huyo na Nuno bado sioni timu pale nawaona kikundi cha watoto wa mtaani tu wanaojiita Arsenal