Mkuu kwa kunidai ushahidi usio na shaka utakuwa ama umedhamiria kunizuia kujadili au umeamua 'kunikomesha' tu, ha haaaa!!
On a serious note, taarifa zilizoripotiwa na media zenye kuaminika kwa habari za michezo ikiwemo goalnews.com ziliripoti kuwa Luis Enrique alihitaji £250m za usajili huku akieleza kuwa ni wachezaji sita tu wenye uhakika wa kupata namba kikosi cha kwanza na wengine watahitaji kuraise their standards to convince him.
Hii ni normal situation kwa vilabu vingi tu, kama hujaweza kumuuza mchezaji usiemtaka kikosini, kuliko kukaa naye umlipe full salary ni more economy kumtoa kwa mkopo then mnashare salary huku akipata game time kutunza/kukuza uwezo wake na thamani yake pia ili hata ukitaka kumuuza upate hela nzuri.
Hili pia ni kawaida anapokuja kocha mpya, wapo wataondoka, wapo watabaki na wapo wa bench wataaminiwa kutokana na philosophy ya kocha husika, by the way Saliba hakusajiliwa na Arteta.
Hili acha na me nikurudishie 'kibano' ulichonipa hapo juu, naamini huna ushahidi usio na shaka, ha haaaa!!
Kupigwa hela inaweza kutokea hasa kwenye situation tuliyopo (panic buy), lakini nayo imetokea watu wanalipa £50m+ for bench warmers. Katika hiki kipindi cha mawakala hilo linaweza kukukumba, sometimes mawakala wanawezesha deal kwa maslahi yao na sio vilabu.
Issue ya Martinez nadhani alipata nafasi kama mechi 7 hivi za mwisho baada ya Leno kuumia, unawezaje kumuamini kirahisi hivo kwa mechi 7? Huyu Martinez alikuwepo enzi za Wenger, Unai na hakuaminiwa kupewa namba. Infact Leno alinunuliwa kuwa namba 2 nyuma ya Cèch na yeye akiwemo, sasa mnatakaje Arteta amuamini kirahisi tu?
Tangu Kreonke achukue club hajawawi ku endorse pesa, hiyo unayoisema nyingi ni ambayo club imezalisha toka kwenye vyanzo vyake vingine.
Hizo pesa kweli ni nyingi lakini not well spent, unaweza kuwalaumu wanaonunua wachezaji lakini ukienda deep utagundua deals zetu nyingi hata cash hatuwezi kulipa tunalipa kwa installments, huo utaratibu wa malipo ambao timu nyingi haziutaki zimetufanya tushindwe kupata top target players ila tunanunua wale ambao wanakubaliana na taratibu zetu za manunuzi and that's down to the owner (Kroenke).