ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
KUNA MCHEZAJI GANI UNAMUONA WA MAANA HAPO ASENO?Kwa wachezaji waliopo Arsenal sio timu ya kunyanyaswa vile na Brentford
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
KUNA MCHEZAJI GANI UNAMUONA WA MAANA HAPO ASENO?Kwa wachezaji waliopo Arsenal sio timu ya kunyanyaswa vile na Brentford
TULIWAONYA KABLA YA LIGI KUANZA..PAZIA LA LIGI LIMEFUNGULIWA HUKO..KUNA USAJILI WOWOTE WA MAANA HAPA AU MNASUBIRI LIGI IANZE MUANZE KULAUMIANA "arteta out".View attachment 1884384
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app



Hakuna kitu kama hicho, paka January hivi Arsenal itakuwa in Top four.





hihiiiiiihiiiii mpaka January hili jukwaa litabakiwa na mashabiki wawili au mmoja wa Arsenal nshanunua jezi yangu ya PSG na kundi letu la WhatsApp la mashabiki wa Arsenal wamesha unfollow official page ya ArsenalTunakutakia maisha mema huko psg!.. Badili na jina pia liwe computerpsghihiiiiiihiiiii mpaka January hili jukwaa litabakiwa na mashabiki wawili au mmoja wa Arsenal nshanunua jezi yangu ya PSG na kundi letu la WhatsApp la mashabiki wa Arsenal wamesha unfollow official page ya Arsenal
Mechi za pre season tumefungwa almost mechi zote kauli ikawa its just a pre season ,now tumefungwa na Brentford tena ya Championship na hakuwa bingwa wa huko then utarajie Top 4?kama unatumia kilevi ACHA
Haohao kina lokonga?Chache tatu
huwez kuwa serious.... Hizo 3 ndo chache kwetu Sisi kuwapa kichapo....AminaTunakutakia maisha mema huko psg!.. Badili na jina pia liwe computerpsg




TatuHaohao kina lokonga?huwez kuwa serious.... Hizo 3 ndo chache kwetu Sisi kuwapa kichapo....
Blue is the colour
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
kapigwa na timu kubwaCity kapigwa lakini hamna anayewapigia kelele. Unadhani kwanini?
Unahisi angefungwa na Brentford angekuwa na hali gani Pep?City kapigwa lakini hamna anayewapigia kelele. Unadhani kwanini?
Spurs timu kubwa?kapigwa na timu kubwa
Anavyofungwa na Wolves tena kwa comeback hua katika hali gani?Unahisi angefungwa na Brentford angekuwa na hali gani Pep?
kapigwa na timu kubwa
Kwa hiyo hii ni account moja sio, Mzee baba milango mitatu una account nyingi sanaUnahisi angefungwa na Brentford angekuwa na hali gani Pep?


