Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

10- ukimaanisha tutakua tunadaiwa magoli? Haiwezekani.

Kuna timu itaangukia pua
Endelea kujipa moyo kama wale wasabato masalia waliotaka kusafiri ulaya bila nauli wa passport.

Kaka kubali tu TIMU HUNA, KOCHA HAUNA na mbaya zaidi Tajiri KROENKE mbahili na hana time kabisa na Arsenal, husitegemee chochote zaidi ya maumivu.
Screenshot_20210814-170334_Chrome.jpg
 
Endelea kujipa moyo kama wale wasabato masalia waliotaka kusafiri ulaya bila nauli wa passport.

Kaka kubali tu TIMU HUNA, KOCHA HAUNA na mbaya zaidi Tajiri KROENKE mbahili na hana time kabisa na Arsenal, husitegemee chochote zaidi ya maumivu.
View attachment 1892420
Namshangaa sana jamaa wakati msimu huu hakuna excuse ukweli Arsenal nafasi ya 16 akiishika akafanye sherehe that's the fuckin truth atake asitake Arsenal ni timu ya kimalaya malaya unafungwa na Brentford then kwa kikosi hicho hicho upate 6 points dhidi ya Chelsea na Manchester City?
 
Endelea kujipa moyo kama wale wasabato masalia waliotaka kusafiri ulaya bila nauli wa passport.

Kaka kubali tu TIMU HUNA, KOCHA HAUNA na mbaya zaidi Tajiri KROENKE mbahili na hana time kabisa na Arsenal, husitegemee chochote zaidi ya maumivu.
View attachment 1892420
Watu tunatofautiana namna tunavyoangalia mpira kila mtu anaona anachoona.
 
Huyo mnayesema anajua kuliko Leno tayari katobolewa mara tatu na Villa ni miongoni mwa timu zilizofanya poa sokoni
Naongelea build up ya Emi sio Saves, Leno kwenye saves ni mzuri ila anadisconnect timu kwenye build up sio mzuri playing from the back ndio maana nadhani km Ramsdale anakuja atakuwa first GK straight up.
 
Mungu atunusuru tusishuke daraja baada ya mechi 3 tutakuwa na point 0 hilo halihitaji ubishi au kutokuwa na akili timamu ya kulitambua hilo!Maadui zetu wote wanafungua msimu na point 3 za Maana!na ndio wataunda Top 4 na Top 10.Weeekend njema
Hakuna kitu kama hicho, paka January hivi Arsenal itakuwa in Top four.
 
Back
Top Bottom