Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila mi naona Locatelli hana ukali wa kusema ukimkosa roho ikuume. Kama kweli shida ni nafasi waliopo wagawe kwa mkopo hiyo ndiyo option inayokua imebaki.

Xhaka hata Arsenal ilitaka abaki.

Ila waliopo wanabana nafasi mbona Willock kaondoka na hakuna ingizo jipya? Kolasinac anaondoka/ ameondoka, hakuna ingizo jipya.

Arteta anajihami mno. Weka fullback Tierney na Tavarez au Tavarez na Soares acha wakimbize watu pembeni anamng'ang'ania Chambers. Yaani jamaa anafanya uchaguzi wa kikosi akiwa amelenga kudefend
Locatelli sio talented sana but he is very good technically, na ukizingatia kocha wetu ana high technical demand, locatelli angefit vizuri pale EPL,
IMG_20210816_214852.jpg
 
mbona mshakaji katoa hela ila wanaenda kusajili white
Statistics zinaonyesha Arsenal ndio timu ya mwisho yaani yenye Slow build-up play pale EPL kwa last season, inawezekana ndio imepelekea uhaba wa magoli last season, hapa tulikuwa chini ya Luiz, Holding, na Gabriel as CB.

Ben White is a ball playing defender chini ya Graham potter na Marcello Bielsa, hiyo maana yake nini? Analetwa kuincrease rate ya Kuattack.

Raia wanaMind kuhusu Saliba huyu muangalieni vizuri ni mzuri kudefend na kumake runs ila playing from the back ni majanga, ndio maana Arsenal walitaka at least aende mkopo Newcastle ila kaforce kurudi Marseille.
 
Breaking News Usajili!!

Wakuu kiaje?

Barcelona wanamtaka mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang na wako tayari kuwapa Arsenal Phillipe Coutinho.

Hiyo ni baada ya kumkosa Tammy Abraham ambae amesajiliwa rasmi na Roma ya Italy.

Habari zaidi kufuata.
 
Majamaa lengo kumtoa dogo mchezoni, Southgate kaja kumcheki game ya Brentford nadhani wanajaribu kutetea nafasi za wachezaji wao WC.

" Every CB in the top 6 is good on the ball making the point it's not a unique trait" Neville
IMG_20210816_222029.jpg
 
Majamaa lengo kumtoa dogo mchezoni, Southgate kaja kumcheki game ya Brentford nadhani wanajaribu kutetea nafasi za wachezaji wao WC.

" Every CB in the top 6 is good on the ball making the point it's not a unique trait" NevilleView attachment 1894986
Carragher alimchokoza David Luiz na akapata majibu mujarab.
 
Naona Arsenal wameanza kumfukuzia Antonio Conte na Blendon Rogers!.. Hiyu Artete awe serious na kazi yake.. Kuna ewezekano akipoteza mechi ya jumapili na chelsea anaweza akapoteza kazi yake
 
Naona Arsenal wameanza kumfukuzia Antonio Conte na Blendon Rogers!.. Hiyu Artete awe serious na kazi yake.. Kuna ewezekano akipoteza mechi ya jumapili na chelsea anaweza akapoteza kazi yake
Antonio Conte hawezi kuja timu kama Arsenal.

Kwa akili za mabosi wenu zilivyo hawezi kukubali.

Yule ni mtu anayesimamia misimamo yake.
 
Back
Top Bottom