Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Hawa jamaa wanateseka sana, sema ndio hivyo tena "kupenda ni sawa na donda ndugu"Mashabiki wa arsenal mna stress hata ligi ijaanza
Hawa jamaa wanateseka sana, sema ndio hivyo tena "kupenda ni sawa na donda ndugu"Mashabiki wa arsenal mna stress hata ligi ijaanza
Tuwaombee uzima tu waendelee kuishi ..maana bado tunawahitaji..Hawa jamaa wanateseka sana, sema ndio hivyo tena "kupenda ni sawa na donda ndugu"
ID nyingine wanaenda nazo man city hukoNinacho wakubali mashabiki wa hii timu ni kitu kimoja tu, yani kila shabiki ana ID mbili au zaidi.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
acha kisabi sabina dingoooUlilazimishwa kuipenda?
Timu zote hizi huzioni mpaka uipende Arsenal8 (washika manati)
Hata mimi.Mimi sijaridhika kuuzwa huyu dogo
Hilo neno dingoo, ni tusi ama?acha kisabi sabina dingooo
imetokana na neno dingi linalomaanisha mzazi wa kiumeHilo neno dingoo, ni tusi ama?
Kama sio tusi poa.imetokana na neno dingi linalomaanisha mzazi wa kiume
Shika adabu yakokubwa jinga, acc 2012 unaandika usenge humu.
Blue is colorMsimu huu munamaliza tena nafasi ya nne.
Ubingwa mutausikia kwenye bomba tu, pompooo!


BwahahahahahahNinacho wakubali mashabiki wa hii timu ni kitu kimoja tu, yani kila shabiki ana ID mbili au zaidi.
Nyie watoto wa mama hamuwezi kujua maneno ya kihuni kama hayo..Hilo neno dingoo, ni tusi ama?
asee bablai unafelia wapi aise..Kama sio tusi poa.
We ni kijana ya R chuga sio?
ndo kitu ambacho mzeeKama sio tusi poa.
We ni kijana ya R chuga sio?
bet wonMechi ni villa ni suluhu mtakutana penati.
Kwenye ligi mnaanzaje