Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Top four ngumu sana, Leicester sio wa kitoto kwa nilivyowaona leo.tusiporudi top four
Arteta alaumiwe na afukuzwe pamoja na kibaraka wake Edu
Top four ngumu sana, Leicester sio wa kitoto kwa nilivyowaona leo.tusiporudi top four
Arteta alaumiwe na afukuzwe pamoja na kibaraka wake Edu
Wazee Soyuncu tulihusishwa naye kabla ya leicester city lakini wapi, Boubakary Soumare naye hivyo hivyo Aaron alileta sana taarifa zake humu.
Inaonesha Lokonga profile is better than bouba lkn Sio siri Bouba anajua huyu mtu, Bouba + Ndidi pale kati pamechafuka, Arsenal kuwaScout wachezaji tupo fire shida kuwanunua sasa!


eti lokonga




matakataka tutawafukuza london mnatuaibisha sanaTokea lini Arsenal akawa mpinzani wa Chelsea. Kwa London mpinzani wa Arsenal ni Tottenham Hotspur.Arsenal nyie ni wapinzani wangu ila usajili wa Onana ningeufurahia sana mana changamoto kuwafunga ingeonekana ila cjui mmekwama wapi nyie utopolo wa London.
London is blue 💙💙💙
N kweli kabisa mzee wangu, Chelsea haiwezi kuwa na mpinzani ambaye hana UCLTokea lini Arsenal akawa mpinzani wa Chelsea. Kwa London mpinzani wa Arsenal ni Tottenham Hotspur.
Hilo sahau mkuu, timu yenu haiwezi tena kurudi ndani ya top four kwa miaka ya karibuni.tusiporudi top four
Arteta alaumiwe na afukuzwe pamoja na kibaraka wake Edu
Unaandika kama nani?Hilo sahau mkuu, timu yenu haiwezi tena kurudi ndani ya top four kwa miaka ya karibuni.
Tatizo sio Arteta wala Edu.
Tatizo ni mabosi wa timu yenu.
Nakuhakikishia Arsenal ikipata bosi asie chungulia pesa, sio top four, bali hata ubingwa mutachukua.
Naandika kama Kitoabu.Unaandika kama nani?
KroenkeNaandika kama Kitoabu.
We ulidhani naandika kama nani?
Hapana, alie kwambia hivyo atakua kakutapeli.Kroenke
sawaHapana, alie kwambia hivyo atakua kakutapeli.