Bet won kivipi wakati 90 minutes ni suluhu?
Bet won kivipi wakati 90 minutes ni suluhu?
wa landaniKikundi cha wakata viuno![]()
Nishakaa pembeni ya Arsenal na ligi ya uingereza mpaka arsenal itakapo achana na Ateter.Hakuna kocha pale.Mimi sijaridhika kuuzwa huyu dogo
Mkuu Nipe sababu tano, kutetea hoja yakoMartin Odegaaaaaaard... Dili ya Maddison imekufa, mimi kwangu sherehe
Hapa arsenal wamezingua parefu sanaWillock offloaded for >20M pound, signed a 6 year contract with Newcastle.
unajipa moyo tuu Maddison sio wa kufananishwa na MartinMartin Odegaaaaaaard... Dili ya Maddison imekufa, mimi kwangu sherehe
hawa hamna kitu hata kama wangekuwepo sidhani kama wana impact kubwa sanaPIGO ARSENAL| Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha kuwa Washambuliaji wake tegemeo nahodha Pierre-Emerick Aubameyang na Alexandre Lacazette hawako fit na hawatacheza dhidi ya Brentford usiku wa leo
.
Muda wa stress kwa Mashabiki wa Arsenal umefika na msimu ndo kwanza unaanza
.
![]()
Mkuu game ya leo tunaweza pigwahawa hamna kitu hata kama wangekuwepo sidhani kama wana impact kubwa sana
Nketiah kutokuwepo kwangu ndo naona shida