Yaani kama utopolo tuKikundi cha wavuta ndum, hamna timu hapa
Yaani kama utopolo tu
Bora waje man u wale maisha tupo seriousHuo ni utopolo wa London
View attachment 1886284
Kule amekuwa star wa timu. Kama kweli basi kila la kheri kwa Joe Willock. Labda Sambi yuko vizuri kuliko Joe katika ukabaji. Je anamzidi katika ushambuliaji? Nakumbuka dogo alifunga magoli mengi zaidi ya kina Partey na Xhaka msimu uliopita.
Timu chakavu iliyojichokeaYaan Madison atakuwa chizi kuja hii timu haoni wenzake kina locatelli hawataki kabisa kusikia huo upumbavu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app


Wachezaji wa kuokotezaMaddison ni mtu na nusu, hata mi namkubali.
Mukiipata saini yake kidogo mutaoneka muko serius
Mbona kelele nyingi angalieni msije ona aibu kuanzia ijumaaTimu chakavu iliyojichokea
Hawana mbele Wala nyuma.
Wako wako tu wamebaki jina
kubwa jinga, acc 2012 unaandika usenge humu.Wachezaji wa kuokoteza
Average players
Chekini stamford tunavuta world class players
Mashabiki wa arsenal mna stress hata ligi ijaanzakubwa jinga, acc 2012 unaandika usenge humu.
kijana kaenda kwa bei ya vunjabei, aliscore 7 consecutive games last season, hii damu ya Arsenal utashangaa misimu miwili mbele dogo anaenda Big club. Tumeuza wachezaji kama Emi,Guendouz,Willock, next Saliba.View attachment 1886284
Kule amekuwa star wa timu. Kama kweli basi kila la kheri kwa Joe Willock. Labda Sambi yuko vizuri kuliko Joe katika ukabaji. Je anamzidi katika ushambuliaji? Nakumbuka dogo alifunga magoli mengi zaidi ya kina Partey na Xhaka msimu uliopita.
Mzee, tulia iingie vizuri.kubwa jinga, acc 2012 unaandika usenge humu.
Msimu huu munamaliza tena nafasi ya nne.Wachezaji wa kuokoteza
Average players
Chekini stamford tunavuta world class players
Ulilazimishwa kuipenda?Hii timu yangu inanichosha sana kila nikiingia kwenye huu uzi kejeli zimezidi sasa