Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta akimsajili huyo Abraham nitajua hana nia ya kuchukua ubingwa kabisa!.. Mimi naamini hizi ni rumours tu
Abraham hawezi kuja pale.

Juzi nimeona amesema yeye ni shabiki wa Arsenal. To be fair ana finishing nzuri, shida yake ni kwamba hawezi kuoffer kitu tofauti na finishing, ikatokea mmebanwa mipira haiendi mbele na yeye ndiyo haonekani tena.
 
Abraham hawezi kuja pale.

Juzi nimeona amesema yeye ni shabiki wa Arsenal. To be fair ana finishing nzuri, shida yake ni kwamba hawezi kuoffer kitu tofauti na finishing, ikatokea mmebanwa mipira haiendi mbele na yeye ndiyo haonekani tena.
Hilo ndilo tatizo lake!.. Mpaka mipira imfuate!.. Ila ni finisher mzuri mzuri.. Sasa kwa Arsenal yetu hatuna watu wa uhakika wa kutoa assist za maana.... Anyway labda kocha anaweza akawa anajua namna atakavyomtumia
 
Abraham hawezi kuja pale.

Juzi nimeona amesema yeye ni shabiki wa Arsenal. To be fair ana finishing nzuri, shida yake ni kwamba hawezi kuoffer kitu tofauti na finishing, ikatokea mmebanwa mipira haiendi mbele na yeye ndiyo haonekani tena.
Si ni bora tubaki na Lacazette huku Mrtinelli akiendele kijiimiarisha? Naona kama Martinelli amemzidi Abraham maeneo kibao tu.
 
Si ni bora tubaki na Lacazette huku Mrtinelli akiendele kijiimiarisha? Naona kama Martinelli amemzidi Abraham maeneo kibao tu.
Yea Martinell kwa Abraham kazidi. Amemzidi skills na pace
 
Kifupi kila shabiki wa mpira mpaka wachezaji tunaowatamani wanatuona hatuna ambition, tupo tupo tu, kwa kweli kipenda roho hula nyama mbichi, ila ndiyo timu yetu, tajiri mpaka board hovyo, lini itatokea revolution pale ya kufa mtu turudi kuwa contenders of titles tena?!
 
Msimu unaisha Arsenal ni timu ya tatu katika timu zilizofungwa magoli machache.

Bado sijagive up na hii timu haswa kwakua usajili unaendelea
Tulikosa ubunifu katika kushambulia na kutengeneza chances. Labda msimu huu tutaboresha upande huu wa game yetu.
 
Halafu kinachonishangaza Mimi wanaondoka wachezaji wazoefu na tunasajili wachezaji chipukizi !!!

Kama hatutasajili wachezaji wazoefu mwakani hata top 5 hatutakuwemo!!
 
Halafu kinachonishangaza Mimi wanaondoka wachezaji wazoefu na tunasajili wachezaji chipukizi !!!

Kama hatutasajili wachezaji wazoefu mwakani hata top 5 hatutakuwemo!!
Kwan huu mwaka mliingia top 5? Mbona mmeshazoea tu kuwa nje ya big 6.
 
Kama itakuwa hivyo itakuwa poa sana.. Wamlete Maddison na waongeze DM mmoja wa maana kabisa
DM yupo Partey anacheza, hapa shida ni nafasi ya Xhaka anaondoka, na tupate AM matata

Arsenal tunawahitaji Aouar na Madders wote kwa pamoja, mmoja aShift no.8 mwingine abaki no.10 maana wote wanacheza hizo namba..
 
Halafu kinachonishangaza Mimi wanaondoka wachezaji wazoefu na tunasajili wachezaji chipukizi !!!

Kama hatutasajili wachezaji wazoefu mwakani hata top 5 hatutakuwemo!!
Chipukizi ndio wataturudisha UEFA, sio hao wazoefu, wanalipwa pesa mingi Afu impact wanaleta watoto kina Rowe na Saka..

Juzi Arteta kawatupia kijembe anasema kule mbele kwa quality waliyonayo wajitathimini nafasi wanazopoteza..
 
DM yupo Partey anacheza, hapa shida ni nafasi ya Xhaka anaondoka, na tupate AM matata

Arsenal tunawahitaji Aouar na Madders wote kwa pamoja, mmoja aShift no.8 mwingine abaki no.10 maana wote wanacheza hizo namba..
Kwa Aouar sijui kama tutampata maana inasemekana Arsenal wamekata mawasiliano huko na sasa tottenham wanataka kufanya swap deal.. Ngoja tusubiri tuone
 
Kwa Aouar sijui kama tutampata maana inasemekana Arsenal wamekata mawasiliano huko na sasa tottenham wanataka kufanya swap deal.. Ngoja tusubiri tuone

Bahati mbaya sijamfuatilia Aouar, kinachonipa mashaka ni why has his price dropped significantly compared to last season?
 
Bahati mbaya sijamfuatilia Aouar, kinachonipa mashaka ni why has his price dropped significantly compared to last season?
Inatokea kwenye Football, hata Nabir Fekir ilikuwa hivyo kipindi Liverpool wanamtaka walivyomtosa na Bei ikashuka akaenda Betis
 
Kwa Aouar sijui kama tutampata maana inasemekana Arsenal wamekata mawasiliano huko na sasa tottenham wanataka kufanya swap deal.. Ngoja tusubiri tuone
Hawaeleweki hawa, Eti Tammy Abraham huyu naye mchezaji?

Hawa wachezaji wa Chelsea waliwapa nini hawa kina Edu?
 
Back
Top Bottom