Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shabiki wa chelsea nimemaliza kusoma comments zenu za kulia-lia kuhusu usajili,

ifike mahali bingwa wa Ulaya awe na kipengele cha kupendekeza timu ya kushuka daraja kwa lazima na mimi nngependekeza arsenal ishuke daraja.

London is blue 💙💙💙
Eti hii timu nayo inashindwa usajili na Aston villa dah!!
 
Ndugu zangu, Neema inafunguliwa....

Mswedish Billionea ndugu Daniel EK anajiandaa kupandisha dau la kunyakua Asernal kwa dili linalokaribia kuwa la Pound Billion mbili.... ambapo mwanzoni alishindwa kutanguliza kishika uchumba cha pound Million moja point nane kugomba mwamba.

Pound Billion mbili ni sawa Tshs Trillion 6 na ushee hivi

Je tumpe huyu jamaa ama tukomae? je tutakomaa mpaka lini? maana Arsenal si hii jamani hata top four hatumo kweli?
Hahahah halafu mkitoka hapa mnakuja kwenye uzi wa Chelsea
 
Kama kawaida Arsenal wanaongoza ligi. Hongereni sana. Naamini mtaongoza adi August 15🤪

🤪
IMG_0877.JPG
 
Hii inadhihirisha nyie ni matakataka kutoka London, sasa hadi Brighton kweli anawawekea ngumu kwenye hiyo ofa kweli. Aisee mnatia huruma sana, nasikia mna andaa ofa nyingine. Nyie ni takataka tu kama Buendia mlishidwa huyu ndio mtaweza kweli. Niwashauri tu kama mnataka beki pelekeni hiyo ofa kwa Burnley mkamchukue beki kisiki James Tarkowski.
Inst-image-18.jpeg
 
Iwapo tutafanikiwa kuwapata Madison, Onana, White na Bisouma nina hakika msimu wa 2021/22 tutafurahi. Report from an impeccable source has told me KSE has given a green light to AFc to spend 250m pound on new signings.
 
Iwapo tutafanikiwa kuwapata Madison, Onana, White na Bisouma nina hakika msimu wa 2021/22 tutafurahi. Report from an impeccable source has told me KSE has given a green light to AFc to spend 250m pound on new signings.
Umemsahau Lokonga
kuna mtu alisema Arsenal na Arteta wanakuwa pamoja ni kweli kabisa, kocha anakomaa pamoja na wachezaji wake.
 
Umemsahau Lokonga
kuna mtu alisema Arsenal na Arteta wanakuwa pamoja ni kweli kabisa, kocha anakomaa pamoja na wachezaji wake.

Napenda sana kiungo cha Maddison, ile mashine tukiipata roho itafurahi, ingawa naye ana andamwaga na majeruhi
 
Back
Top Bottom