Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
nipo Mkuu, naangalia mitandao kama kuna new signing
Mkuu mpira umenitoka hamu hata Euro sijaangalianipo Mkuu, naangalia mitandao kama kuna new signing
Kipindi hiki hatuna cha kuandika 😅Yaani uzi umepoa huu utasema sote tumepoteza simu na hatuwezi access JF.
😀😀😀😀😀😀😀
mysterio ndugu yangu uko wapi??
computerarsenal
Will jr
DullyJr
Castr
isajorsergio
Mkuu ule uzi wa Safari ya Cappadocia umeutupa kabisa.Yaani uzi umepoa huu utasema sote tumepoteza simu na hatuwezi access JF.
😀😀😀😀😀😀😀
mysterio ndugu yangu uko wapi??
computerarsenal
Will jr
DullyJr
Castr
isajorsergio
Nimejilazimisha sana kukubaliana kimawazo na Arsenal kumuuza Xhaka lakini sioni hata midfielder mmoja tunayehusishwa nae anaweza kuichezesha timu kama Xhaka, zaidi ya ujinga mtupu kuamini Xhaka ndio tatizo Arsenal na wakati huwa akikosa mechi unaona kabisa midfield haina vision na determination. Labda nawahi sana kumuhukumu Arteta lakini msimu uliopita umenifanya kutokuwa na Imani kabisa na huyu kocha. Si kwamba Arsenal imemaliza nafasi ya chini sana lakini hata namna Mpira tuliokuwa tunacheza ni hovyo sana. Hatuna wachezaji wazuri sana lakini si haba kutokucheza Mpira mzuri.kuna taarifa zinazodai mtamuuza Xhaka kwenda As Roma....ndugu zangu namuangalia Xhaka hapa naona mnapoteza mmoja kati ya wapambanaji na wachezaji wenye kujitoa......
Nimejilazimisha sana kukubaliana kimawazo na Arsenal kumuuza Xhaka lakini sioni hata midfielder mmoja tunayehusishwa nae anaweza kuichezesha timu kama Xhaka, zaidi ya ujinga mtupu kuamini Xhaka ndio tatizo Arsenal na wakati huwa akikosa mechi unaona kabisa midfield haina vision na determination. Labda nawahi sana kumuhukumu Arteta lakini msimu uliopita umenifanya kutokuwa na Imani kabisa na huyu kocha. Si kwamba Arsenal imemaliza nafasi ya chini sana lakini hata namna Mpira tuliokuwa tunacheza ni hovyo sana. Hatuna wachezaji wazuri sana lakini si haba kutokucheza Mpira mzuri.
We good bro.Kipindi hiki hatuna cha kuandika 😅
Ila kuanzia Alhamis/ Ijumaa tutarudi kwa nguvu zote
Hope y'all are fine.
Ahsante kwa kunikumbusha mkuu. Ntaurudia for sure.Mkuu ule uzi wa Safari ya Cappadocia umeutupa kabisa.
Just Imagine.Naangalia Croatia vs Spain ni burudani. Bahati mbaya hatuna mchezaji wetu timu zote mbili
Mkuu sio labda unawahi kumlaumu Arteta. Actually unachelewa sana kumshushia malawama huyu jamaa na Edu wake.Nimejilazimisha sana kukubaliana kimawazo na Arsenal kumuuza Xhaka lakini sioni hata midfielder mmoja tunayehusishwa nae anaweza kuichezesha timu kama Xhaka, zaidi ya ujinga mtupu kuamini Xhaka ndio tatizo Arsenal na wakati huwa akikosa mechi unaona kabisa midfield haina vision na determination. Labda nawahi sana kumuhukumu Arteta lakini msimu uliopita umenifanya kutokuwa na Imani kabisa na huyu kocha. Si kwamba Arsenal imemaliza nafasi ya chini sana lakini hata namna Mpira tuliokuwa tunacheza ni hovyo sana. Hatuna wachezaji wazuri sana lakini si haba kutokucheza Mpira mzuri.
Niliangalia ratiba kwa Sofascore nikakuta Brentford vs Arsenal na Arsenal inaonyesha imepewa odds 2+Just Imagine.
That means hatuna timu kaka
Hamia Yanga SC mkuu shida yote ya nini.Timu hatuna wallai.. Mie moyo wangu kwa chama hili umekuwa baridiiiiiii.. Ni muda wa kroenke kuacha chama.