Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Buendia ameishauzwa Aston Villa kwa Paundi 33m pls add-ons. Sisi bado tunatafuta rejects.
Timu yetu haina mipango ya kuchukua Ubingwa wala kuingia Top4, nilidhani bora timu ingewekwa sokoni tu wenye hela waichukue kuliko kuendelea kuwa na mmiliki bahili kama wetu au wangesema tuanze kuichangia na ibaki mikononi mwa mashabiki tu.

Tukiendeleza ufala huu timu inakwenda kushuka daraja🙆
 
Arsenal imefilisika..imezidiwa hadi na Aston Villa kwenye kumsajili Buendia wa Norwich
 
Yaani Kroenke kaigeuza timu kama kikundi cha wahuni.Tupo tupo hatuna malengo na mbaya zaidi hatujui tunataka nini.
 
Arsenal is that guy who asks for prices of all products in the market and never buying them with an excuse of not finding the preferred quality
 
Mkiendelea kumlea huyu boss wenu bahili, Wallah nawambia msimu ujao huenda mkashuka daraja. Arsenal ni ya kusubiri kusajili wachezaji waliomaliza mikataba?
 
Ndugu zangu, Neema inafunguliwa....

Mswedish Billionea ndugu Daniel EK anajiandaa kupandisha dau la kunyakua Asernal kwa dili linalokaribia kuwa la Pound Billion mbili.... ambapo mwanzoni alishindwa kutanguliza kishika uchumba cha pound Million moja point nane kugomba mwamba.

Pound Billion mbili ni sawa Tshs Trillion 6 na ushee hivi

Je tumpe huyu jamaa ama tukomae? je tutakomaa mpaka lini? maana Arsenal si hii jamani hata top four hatumo kweli?
 
auze timu boya huyu, Grealish X Saka itakuwa ni fire
IMG_20210609_221832.jpg
 
Wale wazee wa fantasy league safari hii tukutane kwny eurofantasy league anyone interested please kindly join kwa code hyo hapo chini
Code;90HUHIRR07
 
Kaka Grealish hawezi kuja Arsenal. Unajua hela ya Buendia villa wametoa wapi?? Kwenye mauzo ya Grealish. Grealish kashauzwa kwa timu zinazojielewa kaka
Matajiri wa Aston Villa wana hela. Sio lazima wamuuze Grealish ili wanunue, mchezaji.
Kama sikosei, watofautiana kidogo na Stan kwenye Net worth.

Msimu wa 2019/2020. Aston Villa ilikuwa moja ya Club zilizotumia hela kubwa kwenye Usajiri.

Grealish anaweza kucheza LW, Buendia AM au RW.
 
Shabiki wa chelsea nimemaliza kusoma comments zenu za kulia-lia kuhusu usajili,

ifike mahali bingwa wa Ulaya awe na kipengele cha kupendekeza timu ya kushuka daraja kwa lazima na mimi nngependekeza arsenal ishuke daraja.

London is blue 💙💙💙
 
Back
Top Bottom