Mi naona timu za North London zimelogwa.Hapo ndipo tulipofikia kaka
Jirani Tottenham kaachana na kumuajiri Conte kwakua Conte kasema anataka kuhakikisha wanashinda trophy yoyote 'as soon as possible'
Anyway, labda wanafanya siri na dirisha likifunguliwa ndiyo itakua wazi zaidi.


