Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Team Golden state Warriors ,msimu huu nafasi ya Champions League ilikuwa ya Arsenal kabisa
Ni kweli hata mimi naamini hivyo.

Nikikumbuka VAR, red, penati, own goals ni kweli kabisa.

Ila unajua tukihesabu ushindi wetu tangu tuintroduce AM sisi ni wa pili kipoint? That means what Arsenal needed all along ni AM?
 
Watu mna moyo migumu bado mnafuatilia mpira wa Arsenal? nawapa taadhari msije kupata ugonjwa wa moyo after 90 Minutes!nipo na Mke wangu mtarajiwa tunapata upepo mwanana Beach sitaki matatizo ya kiafya sababu ya Arsenal tutajulishana mpira ukiisha results zitakazopatikana
Kwa wenye akili ya Mpira acha tuendelee kupata upepo wa Beach na Heineken ya baridi presha za nini kwa timu mbovu kama ya Arsenal Nlisema kuangalia EPL leo ukitumaini Arsenal atakuwa kwenye Michuano ya Akili inahitaji uwe Kichaa fulani hivi(sorry for this) na baada ya dk 90 Mmejionea wenyewe Alamsiki
Msimu wa Arsenal kwenye EPL uliisha March 2021
 
I like to watch movies Mkubwa ,naipenda sana Arsenal but angalia msimu unavyoisha kuna mechi tulipoteza kisenge* mfano game ya Everton, Wolverhampton away, Burnley home, Draw na Fulham, tungepata point 3 hizo mechi,leo tungekuwa tunaongelea Conference league kweli?
Hizi mechi nlizozitaja ndio limekuwa kaburi la Arsenal this season bye bye Michuano ya Ulaya
 
SPURZZZZZZZ...ARSENAL OUT OF EVERYTHING
20210523_195052.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
EUROPA haziendi timu wachezaji wanaoliwa tigo
A season outside Europe is a blessing in disguise for this Arsenal side that is set to undergo a major rebuild this summer. The conference league is a total waste of our time. Zero prestige attached to winning it. No thanks, let's focus on the league and fight well for top 4.
 
Back
Top Bottom