Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,915
- 63,915
Ila Brighton kaamua kukabaViwanja vyote vimeishaona goli is ipo kuwa kwetu
Ila Brighton kaamua kukabaViwanja vyote vimeishaona goli is ipo kuwa kwetu
Ukiachilia mpira unafuatilia mchezo gani mwingine?Watu mna moyo migumu bado mnafuatilia mpira wa Arsenal? nawapa taadhari msije kupata ugonjwa wa moyo after 90 Minutes!nipo na Mke wangu mtarajiwa tunapata upepo mwanana Beach sitaki matatizo ya kiafya sababu ya Arsenal tutajulishana mpira ukiisha results zitakazopatikana
HatimayePepeeeeeeeeeee
Watu mna moyo migumu bado mnafuatilia mpira wa Arsenal? nawapa taadhari msije kupata ugonjwa wa moyo after 90 Minutes!nipo na Mke wangu mtarajiwa tunapata upepo mwanana Beach sitaki matatizo ya kiafya sababu ya Arsenal tutajulishana mpira ukiisha results zitakazopatikana
mechi ya mwisho hii haina madhara. Hata ikiwa hatujaingia europe, ni hali watu wameshakubali.Watu mna moyo migumu bado mnafuatilia mpira wa Arsenal? nawapa taadhari msije kupata ugonjwa wa moyo after 90 Minutes!nipo na Mke wangu mtarajiwa tunapata upepo mwanana Beach sitaki matatizo ya kiafya sababu ya Arsenal tutajulishana mpira ukiisha results zitakazopatikana
Unapenda mpira mpaka unakuwa kama kichaaHow is that our business?
I like to watch movies Mkubwa ,naipenda sana Arsenal but angalia msimu unavyoisha kuna mechi tulipoteza kisenge* mfano game ya Everton, Wolverhampton away, Burnley home, Draw na Fulham, tungepata point 3 hizo mechi,leo tungekuwa tunaongelea Conference league kweli?Ukiachilia mpira unafuatilia mchezo gani mwingine?
Chelsea anakufa hukoSpurs anazidi kuzamishwa
No. So mchezo unaoupenda ni mpira pekee as movies siyo mchezo au siyo?I like to watch movies Mkubwa ,naipenda sana Arsenal but angalia msimu unavyoisha kuna mechi tulipoteza kisenge* mfano game ya Everton, Wolverhampton away, Burnley home, Draw na Fulham, tungepata point 3 hizo mechi,leo tungekuwa tunaongelea Conference league kweli?
Team Golden state Warriors ,msimu huu nafasi ya Champions League ilikuwa ya Arsenal kabisaNo. So mchezo unaoupenda ni mpira pekee as movies siyo mchezo au siyo?