computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,016
Nilijua kuna watu watapotea humu after 90 Minutes kweli umekaa unategemea Arsenal atacheza michuano ya ulaya next season anyway siioni Arsenal kuwa competitive team next season bado siioni na sioni kama Kroenke ataweka hela yake ya usajli msimu uliopita tulikuwa wa 8 tukaenda Europa kibahati ,now tumekuwa wa 8 hatutacheza europa wala champions league next season, no improvement kwa misimu 2 iliyopita na ujao utakuwa hivi hivi otherwise ni kuhama timu au kupumzika kuangalia Arsenal akicheza kama Mimi binafsi nlivyoamua but napata results kwenye livescore