Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilijua kuna watu watapotea humu after 90 Minutes kweli umekaa unategemea Arsenal atacheza michuano ya ulaya next season anyway siioni Arsenal kuwa competitive team next season bado siioni na sioni kama Kroenke ataweka hela yake ya usajli msimu uliopita tulikuwa wa 8 tukaenda Europa kibahati ,now tumekuwa wa 8 hatutacheza europa wala champions league next season, no improvement kwa misimu 2 iliyopita na ujao utakuwa hivi hivi otherwise ni kuhama timu au kupumzika kuangalia Arsenal akicheza kama Mimi binafsi nlivyoamua but napata results kwenye livescore
 
WANAUME HAWA..
KUNA TIMU ILISIKIA UNITED WAMEMCHUKUA MCHEZAJI WAO NGULI WA ZAMANI KUINOA TIMU YAO NA WAO WAKAMCHUKUA ARTETA ETI KUIIGA UNITED...KILICHOWAPATA WANAKIJUA WENYEWE..
20210523_205706.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nilijua kuna watu watapotea humu after 90 Minutes kweli umekaa unategemea Arsenal atacheza michuano ya ulaya next season anyway siioni Arsenal kuwa competitive team next season bado siioni na sioni kama Kroenke ataweka hela yake ya usajli msimu uliopita tulikuwa wa 8 tukaenda Europa kibahati ,now tumekuwa wa 8 hatutacheza europa wala champions league next season, no improvement kwa misimu 2 iliyopita na ujao utakuwa hivi hivi otherwise ni kuhama timu au kupumzika kuangalia Arsenal akicheza kama Mimi binafsi nlivyoamua but napata results kwenye livescore
Sasa kama hamna mchezo mwingine unaofuatilia zaidi ya mpira itakuaje?
 
Tutaonana tena next season. Kabla ya hapo tutakuwa na preseason na majadiliano kibao juu ya transfers na mengineo. Kazi iendelee
 
Back
Top Bottom