HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Namaanisha sisi fans tutaendelea tu kujadili chama letu kwa marefu na mapana. Tukisikia tunampata mchezaji mpya tutakuja huku kumsifia. Tukisikia tunauza mchezaji tutakuja huku kufurahia au kuhuzunika. Ndio mpira ulivyo. Kazi iendelee.Kazi gani mkuu? Kuna kazi hii timu huwa inafanya hapo EPL?

