Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inasemwa Arsenal inamtaka Grealish. Isijekua Villa wanamtoa Grealish ili kumpisha Buendia na huyu Grealish hana takwimu nzuri kumzidi Buendia.

Ndiyo maana nimesema isijekua Arsenal inaingia mkenge wa Grealish.
Na wewe bro unaamini Grealish atakwenda Arsenal???? Aache kwenda City na United na Chelsea au Liverpool aje Arsenal??

Ntatembea kwa mguu kutoka Zenji mpaka Dar na kama wewe utakuepo Dar nije nkupe zawadi ya 500,000. Screenshot hii post na hili likitokea uje unidai
 
Na wewe bro unaamini Grealish atakwenda Arsenal???? Aache kwenda City na United na Chelsea au Liverpool aje Arsenal??

Ntatembea kwa mguu kutoka Zenji mpaka Dar na kama wewe utakuepo Dar nije nkupe zawadi ya 500,000. Screenshot hii post na hili likitokea uje unidai
Shida ni sitajua kama umetembea kwa mguu kweli😅

On a serious note Jack hawezi kuja Arsenal kwakua price tag ni ndefu.

Ukiachilia hivyo naamini uwezo wake ni overhyped same thing naamini makocha wameona. So Jack pale haji.
 
Shida ni sitajua kama umetembea kwa mguu kweli😅

On a serious note Jack hawezi kuja Arsenal kwakua price tag ni ndefu.

Ukiachilia hivyo naamini uwezo wake ni overhyped same thing naamini makocha wameona. So Jack pale haji.
Nakubaliana na wewe kwa sababu ya kwanza. Sababu ya pili nakupinga mpaka nikifa na nikifufuliwa mkuu. Jack ni overhyped???

Jack ni mchezaji wa kiwango cha juu with all attributes na qualities za mchezaji wa kiwango cha juu.
 
Nakubaliana na wewe kwa sababu ya kwanza. Sababu ya pili nakupinga mpaka nikifa na nikifufuliwa mkuu. Jack ni overhyped???

Jack ni mchezaji wa kiwango cha juu with all attributes na qualities za mchezaji wa kiwango cha juu.
Kwa maoni yangu Jack uwezo wake siyo wa 80M

Ndiyo maana nimesema ni overhyped.

One of us atakua sahihi msimu ukianza.
 
kwa pressure iliyopo, KSE wanaweza kutoa hiyo 80m ili kuwapoza fans, tatizo la Grealish ni injury prone
 
Namaanisha sisi fans tutaendelea tu kujadili chama letu kwa marefu na mapana. Tukisikia tunampata mchezaji mpya tutakuja huku kumsifia. Tukisikia tunauza mchezaji tutakuja huku kufurahia au kuhuzunika. Ndio mpira ulivyo. Kazi iendelee.
Ni kweli mkuu mimi binafsi naipenda sana chama langu hili ni kama kabila kwangu siwezi kuhama nitabaki nayo!!!
 
Back
Top Bottom