Nilichokiona kwenu ni kwamba Pamoja na Arteta kuwa wa ovyo kingine kinachowaangusha burget ya usajili Abramovic amemuambia Thomas Tuchel atampa paund million 230 za usajili wa msimu ujao japo msimu Huu tumesajili kwa pesa nyingi pia, unajua kwanini Abrahamovic anamwaga Tena pesa nyingi? ni kwasababu ameona tuna kocha sahihi na atakaeipa mafanikio mengi Chelsea.Hahahahana next season kocha ni Arteta ntashangaa shabiki wa Arsenal atakayesema tutainusa top 6 ntamshangaa sana timu ishajifia hii tusubiri Miujiza ya Mungu tutachukua miaka 50 kuona tunabeba kombe la EPL sababu bodi kwa ujumla haipo serious na mataji acha tuangalie wenzetu wanabeba makombe na I swear Tottenham na Manchester United kuna siku soon watabeba EPL tunashuhudia humu humu kwenye Jukwaa


: "He asked me where was Willian so I told him that he went to Arsenal to win Champions league with Arteta"
