Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mazee oneni kitu hii
footballdailyuk__1620833893865594.jpg
 
Sander berge mchezaji mzuri Arsenal twende naye huyu
ukizingatia vunja bei kama kawaida yetu clause yake imeshuka from 40m-12m after relegation.Namuona Frank Lampard humu
 
Sander berge mchezaji mzuri Arsenal twende naye huyu
ukizingatia vunja bei kama kawaida yetu clause yake imeshuka from 40m-12m after relegation.Namuona Frank Lampard humu
Unawekewa Sander na Buendia unamchukua nani?
 
Final Nimepata Uhuru Wa nafsi .... Baada ya miaka 20 ya kuishabikia Gunners sasa rasmi nimekuja huku !!! Araenal ya kina Pires , Ljuinberg , Ray parlour , Thienry henry , Gallas , Silva , Cole , kanu , Seaman , Reyes , Sol Camblie , sio Sawasawa na hii ya kina Saka
images%20(1).jpg
 
Unawekewa Sander na Buendia unamchukua nani?
Majukumu yao tofauti uwanjani kwa hiyo ntawachukua wote.

Ila kama Bissouma anakuja basi Partey atasogea mbele (no.8) hivyo hakutakuwa na nafasi ya huyu Berge, labda aje kama backup player na sidhani km tuna hilo fungu.
 
Jana Leicester kashinda.

Kwa aliyetoka kumfunga Leicester hakuna aliyedhani angeshinda kwa United. Kabla ya game Ole alinukuliwa akisema kwa hizi mechi zinazoikabili United itabidi afanye rotation ya mpaka anapokutana na Villar fainali.

Lakini katika ligi ya Uingereza ukiiondoa City ni Chelsea pekee ambayo inaweza kutoa mtu na kuingiza mtu mwenye uwezo unaokaribiana na anayetoka. Chelsea wana kikosi kipana, pengine ndiyo maana hatujamsikia Thomas akiongelea swala la kikosi.

Arsenal tunaingia kwenye hii game tukiwa underdogs na morali iko chini, msimu kwetu hauna maana tena, mara ya mwisho tulikutana naye tukiwa hatuna morali tumefululiza kufungwa, tukaifunga Chelsea 3 - 1.

Kipindi hiki kuigeuza mechi ni ngumu kiasi chake ila kwakua hatuna cha kupoteza iingie tu timu yenye akili ya kushambulia hamna kujibana bana Martinell na Pepe wenye akili ya kushuti hata nje ya box wawekwe, Auba anayeweza kucut in na kuscore awekwe.

Tuna majeruhi, Emile, Mari na Luiz ingawa Emile na Mari wanaweza kuanza, Luiz ni uhakika kwamba hayupo.

Saa 4 siyo mbali.
 
Majukumu yao tofauti uwanjani kwa hiyo ntawachukua wote.

Ila kama Bissouma anakuja basi Partey atasogea mbele (no.8) hivyo hakutakuwa na nafasi ya huyu Berge, labda aje kama backup player na sidhani km tuna hilo fungu.
Partey awe namba 8?

Kama unaweza kumleta Sander si ni sawa na ubaki na Elneny tu?

Pia Sander ni namba 8 ameanza mechi nyingi ila ana goli 1 na assisst 1 huyu ni namba 8 wa kumkimbilia?
 
Back
Top Bottom