Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Relief Mirzska leo Saka kawekwa LB.

Arteta kama siyo anafanya makusudi basi hajui anachofanyaView attachment 1779028
Anajaribu mkuu.

Leo nimesoma article flani inazungumzia watu wote walio kwenye decision making position pale arsenal kuwa ni immature when it comes to managing a football club.

Yaani arsenal imekuwa sehemu ya watu kujifunzia management. Edu is immature kwenye position yake, vinai is immature kwenye position yake, arteta is immature kwenye position yake hivyo hivyo kocha wa vijana (Mertesacker) is immature kwenye position yake.

Edu ni mshenzi tu, kwanza he is not even a legend pale arsenal
 
Relief Mirzska leo Saka kawekwa LB.

Arteta kama siyo anafanya makusudi basi hajui anachofanyaView attachment 1779028

Hamna kitu pale, pundits wakimsema ndio anamchezesha Martinelli.. Kuchezea Arsenal ndio kitu pekee kinachompa defense kidogo watu hawajaanza kumu attack directly juu ya mwenendo mbovu wa timu. Tangu amekuja hakuna chemistry yoyote kwenye timu aliyotengeneza, tumekuwa dynamic sana. Wamiliki wanashida zao lakini sioni sababu za Arteta kuepukana na lawama za mwenendo mbovu wa timu hasa kwa wachezaji aliokuwa nao.
 
Niliongea last week kuwa Arsenal mpaka sasa natambua haina kocha ila ina baadhi ya wachezaji wazuri na hao wachezaji wakiwa kwemye good Mood ni balaa na wakiwa off Mood hutaamini unachokiona kwenye TV yako but nani wa kulaumiwa?ni Arteta yeye ndiye kakabidhiwa timu ila naona Arsenal inacheza kutokana na experience binafsi za wachezaji hana vision sasa ana tofauti gani na mimi shabiki mfano nkipewa timu?anyway naapa mimi Arsenal akibeba EUROPA league NTAKUNYA kutoka posta hadi Mwenge kwa kikosi hiki trust me!Nawatakia weekend njema wana Gunners wenzangu!kwa ushindi wa Sare wa leo!Natunza Comment yangu!
Naenda Kunya kesho baada ya niliyoaandika kutimia
 
IMG_2676.jpg
 
Hamna kitu pale, pundits wakimsema ndio anamchezesha Martinelli.. Kuchezea Arsenal ndio kitu pekee kinachompa defense kidogo watu hawajaanza kumu attack directly juu ya mwenendo mbovu wa timu. Tangu amekuja hakuna chemistry yoyote kwenye timu aliyotengeneza, tumekuwa dynamic sana. Wamiliki wanashida zao lakini sioni sababu za Arteta kuepukana na lawama za mwenendo mbovu wa timu hasa kwa wachezaji aliokuwa nao.
Kweli mkuu
 
Hamna kitu pale, pundits wakimsema ndio anamchezesha Martinelli.. Kuchezea Arsenal ndio kitu pekee kinachompa defense kidogo watu hawajaanza kumu attack directly juu ya mwenendo mbovu wa timu. Tangu amekuja hakuna chemistry yoyote kwenye timu aliyotengeneza, tumekuwa dynamic sana. Wamiliki wanashida zao lakini sioni sababu za Arteta kuepukana na lawama za mwenendo mbovu wa timu hasa kwa wachezaji aliokuwa nao.
Uko sahihi na naunga mkono
 
Yaani game na Villar inaisha kisha nasema Saka angekaa LB atoe chansi kwa extra forward kuwepo kule mbele i.e Martinell.

Leo amefanya nilichoandika.

Wait, nikitaka kusomea ukocha nafanyaje?
 
Yaani game na Villar inaisha kisha nasema Saka angekaa LB atoe chansi kwa extra forward kuwepo kule mbele i.e Martinell.

Leo amefanya nilichoandika.

Wait, nikitaka kusomea ukocha nafanyaje?

May be ni member humu Jf.

Ila kiukweli pamoja na changamoto zingine zinazoikabili Arsenal, Arteta kazingua sana. Mwanzoni nilimpa support kwa kigezo cha little experience, lakini ameji expose kuwa ni myopic kwenye issues related to football.

Vitu ambavyo mere fans wanaviona, ye anaonekana tu si kutoviona bali haoneshi hata kuwa na idea navyo in the near future. Game ya Villareal is just a recent example to remember...

Hii ina maana kwamba hata zile solid perfomances chache zilizompa credit, zilikuwa sio tactically engineered bali ni out of lucky.
 

May be ni member humu Jf.

Ila kiukweli pamoja na changamoto zingine zinazoikabili Arsenal, Arteta kazingua sana. Mwanzoni nilimpa support kwa kigezo cha little experience, lakini ameji expose kuwa ni myopic kwenye issues related to football.

Vitu ambavyo mere fans wanaviona, ye anaonekana tu si kutoviona bali haoneshi hata kuwa na idea navyo in the near future. Game ya Villareal is just a recent example to remember...

Hii ina maana kwamba hata zile solid perfomances chache zilizompa credit, zilikuwa sio tactically engineered bali ni out of lucky.
Kuna kipindi tulifululiza kushinda games zaidi ya 1 nikasema ushindi wetu kwa ninavyoona lady luck was by our side.

Watu wakanishambulia
 
Kuna kipindi tulifululiza kushinda games zaidi ya 1 nikasema ushindi wetu kwa ninavyoona lady luck was by our side.

Watu wakanishambulia

Nakumbuka, lakini tumekuwa na bad lucky pia several times. VAR pamoja na referees wamekuwa wakituumiza kwenye maamuzi kadhaa.

All in all pamoja na yale makosa binafsi ya wachezaji kama vile kusababisha magoli, kupata red cards na kukosa clear chances, Arteta hatoshi kwenye kile kiti.

Given the same resources under the same league, any other average Manager could do better than him. Teams like Leicester, Westham, and Villa are good examples.

Katika yote hayo yaani Arteta kashindwa kumtoa Villareal na kutinga final?! Nafasi ambayo ingetupa chance ya kujaribu kurudi Uefa in a short cut way.

Nadhani katika msimu mzima alipaswa kuonesha uwezo wake wote (kama anao) katika situation ya namna hii. Hii pia inge garantee kibarua chake next season and may be beyond. Kitendo cha kufeli hapa ni ushahidi tosha kwamba he has nothing left in his locker.
 

May be ni member humu Jf.

Ila kiukweli pamoja na changamoto zingine zinazoikabili Arsenal, Arteta kazingua sana. Mwanzoni nilimpa support kwa kigezo cha little experience, lakini ameji expose kuwa ni myopic kwenye issues related to football.

Vitu ambavyo mere fans wanaviona, ye anaonekana tu si kutoviona bali haoneshi hata kuwa na idea navyo in the near future. Game ya Villareal is just a recent example to remember...

Hii ina maana kwamba hata zile solid perfomances chache zilizompa credit, zilikuwa sio tactically engineered bali ni out of lucky.
Duh! Afadhali mmezinduka wandugu.

Yaani nilikuwa nashindwa kuelewa ni nini hamuoni wakuu.
 
Back
Top Bottom